Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Wewe ni mwanamke au mwanamme???
Soma vizuri post yake
Wewe ni mwanamke au mwanamme???
Weka picha yako ukiwa unacheza..
Duh, uenda unamakalio makubwa hivyo anayatamani au anataka kukufanya super Nyamwela. Ila ingekua vizuri kama mngezungumza kumueleza ukweli kua anakukera
Huyu mpenzi wangu ana
fantasy ya ajabu kweli, mimi ni mwanaume lakini kila mara tunapokutana
na mpenzi wangu ili kubanjua amri ya sita huwa anapenda kuweka muziki
kwanza na kuniambia nicheze kwa kukata viuno huku yeye akiniangalia na
kunipigia makofi.
Kwa mara ya kwanza hako kamchezo kalinikera, lakini nilipogoma
akaniambia eti nikifanya hivyo yeye ndio anapata n.yege sasa imekuwa ni
kama mazoea maana kila mara tukikutana basi ana wimbo mpya kwenye simu
yake maalum kwa ajili ya dansi hilo la utangulizi, yaani
nimeshachezeshwa muziki wa kila aina kuanzia bolingo hadi taarabu
kinachoboa zaidi ni kutaka nicheze bila nguo,tena hupendelea zaidi ile
staili ya mgongo-mgongo.