nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
big baby crying...unadhalilisha bible tu,matendo yako maovu yanajulikana unajificha kwenye mwamvuli wa HOLY BIBLE.
Jingabig baby crying...unadhalilisha bible tu,matendo yako maovu yanajulikana unajificha kwenye mwamvuli wa HOLY BIBLE.
View attachment 927949
YAANI KAMA MWANZA alivyofanya ufisadi utashangaa anavyojifanya mwema,hotel,gorofa 5 katikati ya mji,sasa hivi anajenga hostel za kisasa huko ibanda maana chuo cha udaktari bugando kinahamia huko anatega wanafunzi,jumba la kifahari igoma likapelekewa na barabara ya tiles km 2 hadi getini,majirani watajijua na dingi ana roho mbaya kuliko yeye bado ile ardhi kule dodoma yale maheka,bado mjumba huo masaki,yale magari yasiyohesabika ya kifahari,yote hayo kwa mshahara wa 4.6 millions?eti wacha Mungu...kwendaaa GO TO HELLJinga
kweli kuna wengine wanateka,imagine umesomesha mtoto wako india halafu anatekwa anauliwa na mwili hujawahi kuuona hadi leo...kuhukumu wengine sio vizuri na hata kukatiza uhai wa mwengine ni vibaya zaidi,hapa unakuwa mshirika wa DEVILAnaye mhukumu mwenzie nayeye atahukumiwa.
Ujuwe ameshiba mpaka amevimbewa sasa tumbo linamuumaUkiona Mtu Mzima analia....
Aisee! Mpaka umejiapiza ........hata mimi siku nikipata madaraka ntaiba sana pesa zenu.i swear
Ukiona Mtu Mzima analia....
Mamaee zakeYAANI KAMA MWANZA alivyofanya ufisadi utashangaa anavyojifanya mwema,hotel,gorofa 5 katikati ya mji,sasa hivi anajenga hostel za kisasa huko ibanda maana chuo cha udaktari bugando kinahamia huko anatega wanafunzi,jumba la kifahari igoma likapelekewa na barabara ya tiles km 2 hadi getini,majirani watajijua na dingi ana roho mbaya kuliko yeye bado ile ardhi kule dodoma yale maheka,bado mjumba huo masaki,yale magari yasiyohesabika ya kifahari,yote hayo kwa mshahara wa 4.6 millions?eti wacha Mungu...kwendaaa GO TO HELL