asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Mara 25!
aaaaaaaaaahaaaaaaa!!!!!!!!! bestiiiiiiiii.............siku 5 ni zile za matumizi yenu siyo?
Mara 25!
Sasa ladies si wanajijua, ruhusu maswali toka kwa me mkuu....kwa tafiti za kisayansi mwanamke anakuwa na ham ya kugegedwa siku saba katika mwezi hayo ni matashi ya mwili kama mwili ila viasili vichochezi huweza mfanya mwanamke awe na ham ya kugogolewa kila siku hata kama yupo period.kwa msaada zaidi kama kunamtu anaswali ni Pm but is lady only
Inategemea na mtu na mtu.
Vyakula tunavyokula navyo huchangia sana ...Pia kuwa katika STRESS FREE ZONE...
moto wa mpira hauzimiki....Hahah,,eva una moto!
Af pale anapokua hot ukitembelea rim c ndo mambo ya kuckilzia kiumbe after 9months?
Huyo wa majin mahaba ndo mzuri halingi ila asiwe anaruhusu mipango ya kando.
Nahitaji kujua mwanamke huwa anapata hamu ya kuliwa uroda kwa siku ngapi katika mwezi.
Ndo mjue unapooa mke hajaja kwako kula....
Na Mimi Nauliza Je Wanawake Hao Hao Hupenda Pia KuTIGOLIWA Mara Ngapi Kwa Mwezi? Kuna Wajumbe Humu Wa Chama Cha CHAWAFITA Nao Pia Wangependa Kujua Na Msiwabague.......................
wee dada wee waombe samahani,Mara tatu au nne pale anapokua hot,ile kpindi ya ovulation...ila kuna wengne wana majin mahaba wanapenda kugegedwa kila saa yani,noumer sana!
mimi hadi mwezi nadunda tu! sijui siwazi sana kuhusu hayo mambo! au sipo normal sielewi!!Kila siku kwa mwezi mzima? Can't be tru. Me na maugwadu yangu sometimes inapita wiki sina hamu