Uko chuo cha mapenzi na mmepewa homework au? Maana kama ungekuwa chuo kwa kutumia akili yako nadhani ungeshajua jukwaa linakushauri nini. Acha tamaa ya fedha na ngono. Elimu/ujuzh ndiyo msingi wako siyo mapenzi ndugu
huyu mtoto anapepo kaka maana anaambiwa akazanie elimu yeye anakazania ushauri wa uasherati. Nadhani huku hapamfai labda aende kule kwa watoto facebook
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.