Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,436
- 92,230
Yaani sijui wanathubutuje kureply hata comments zetu... ndio maana mwandiko wao sikuzote umekosa hekimaNimesoma mara tatu tatu sijaelewa𤣠tuko na watoto humu ila wanavimba kinoma
Yaani sijui wanathubutuje kureply hata comments zetu... ndio maana mwandiko wao sikuzote umekosa hekimaNimesoma mara tatu tatu sijaelewa𤣠tuko na watoto humu ila wanavimba kinoma
Na matusi sasaš kumbe tunaweza kuwazaa huku tunapiga push upYaan sijui wanathubutuje kureply hata comments zetu...ndo maana mwandiko wao sikuzote umekosa hekima
ššššNa matusi sasaš kumbe tunaweza kuwazaa huku tunapiga push up
Okay[emoji23][emoji23][emoji23]ni HIV na syphills tu mengine tutajua
Nouma mkuu hakika tutapata tabu sanaaBwana Konde Boy anasema alianza kumuona Kajala kwenye Mabanda ya Sinema enzi hizo na Wema. Mapenzi yana nguvu kuzidi breakdown na Utembo wake anasema alikesha mlangoni
𤣠𤣠𤣠š¤£Age ni number tuu, nenda ukakae ucheze na wanae na kuwasaidia homework
Duh! Miaka 7? Mama yako mdogo huyo.Habari za sahivi wana JF, mim ni yule kijana kama mnakumbuka nilikuja kuomba ushauri juu ya kukataliwa ukweni ,kila mtu akasema yake. Wengine wakasema tafuta hela, wengine wakashuka matusi, ila nikakaambali na ile pisi.
Sasa wiki kama mbili hivi zilizopita kuna mdada nilimtania tu facebook akatokea kunipenda sana, akaomba namba zangu nini, nikaingia nae chimbo kwa maaana whatsapp kama unavojua mtu akikufuata lazima utataka kumfahamu.
Basi demu namuuliza unamiaka mingap anasema 30, afu anasema anawatoto 4, aaaah nikijicheki nina 23 mmmh! Nikaona hapa mbona kazi ipo!
Sasa ndgu zangu huyu manzi akaniomba picha nikamtumia, akaniaifia sana mara hendsome nini! Mara anajuta kuwahi kuolewa. Nikamuuliza kumbe uliolewa, manzi anasema ndiyo ila wameachana na bwana wake.
Sasa manzi jana nimechat nae mara atoe voice za miguno, mara alegeze sauti, mara aniringie, nikamwambia mimi naogopa kuwa nae kwa maaana sihitaji mahusiano naye.
Manzi kanivuta mpaka nimemuelewa, ila kinachonipa maswali ameniambia nikipata likizo nikakae kwake kama pesa yeye atatafuta ila nilale naye, nikae nae, na amesema anataka nimuoe.
Ndgu zangu wana JF, naomba mnishauri hii manzi kweli hata ungekua wewe ungekubali kukaaa nayo? Na je, unaweza kuoa mtu alokupita miaka 7?
Nasikitika hata kuelewa MkuuBwana mdogo umri ulionao sasa ni mzuri sana hivyo hapa JF unaweza ukapatumia kupata maarifa ya kutengeneza Maisha yako.
Acba kupoteza muda ku compose mambo ya kijinga kijinga kwamza wengine sie ni baba zako.
Tafuta ujuzi na uzingatie kuhajenga maisha kwanza achana na mambo ya kipumbavu ambayo hayatakusaidia
Amesema anakupenda kimapenzi au kiumri?Habari za sahivi wana JF, mim ni yule kijana kama mnakumbuka nilikuja kuomba ushauri juu ya kukataliwa ukweni ,kila mtu akasema yake. Wengine wakasema tafuta hela, wengine wakashuka matusi, ila nikakaambali na ile pisi.
Sasa wiki kama mbili hivi zilizopita kuna mdada nilimtania tu facebook akatokea kunipenda sana, akaomba namba zangu nini, nikaingia nae chimbo kwa maaana whatsapp kama unavojua mtu akikufuata lazima utataka kumfahamu.
Basi demu namuuliza unamiaka mingap anasema 30, afu anasema anawatoto 4, aaaah nikijicheki nina 23 mmmh! Nikaona hapa mbona kazi ipo!
Sasa ndgu zangu huyu manzi akaniomba picha nikamtumia, akaniaifia sana mara hendsome nini! Mara anajuta kuwahi kuolewa. Nikamuuliza kumbe uliolewa, manzi anasema ndiyo ila wameachana na bwana wake.
Sasa manzi jana nimechat nae mara atoe voice za miguno, mara alegeze sauti, mara aniringie, nikamwambia mimi naogopa kuwa nae kwa maaana sihitaji mahusiano naye.
Manzi kanivuta mpaka nimemuelewa, ila kinachonipa maswali ameniambia nikipata likizo nikakae kwake kama pesa yeye atatafuta ila nilale naye, nikae nae, na amesema anataka nimuoe.
Ndgu zangu wana JF, naomba mnishauri hii manzi kweli hata ungekua wewe ungekubali kukaaa nayo? Na je, unaweza kuoa mtu alokupita miaka 7?
yaani unahangaika na mwanamke mwenye watoto 4, huna uamuzi wa kufanya. Ghafla hujui kuwa unakwenda kutwishwa mzingo wa kulisha familia ya mwanaume mwenzako.Habari za sahivi wana JF, mim ni yule kijana kama mnakumbuka nilikuja kuomba ushauri juu ya kukataliwa ukweni ,kila mtu akasema yake. Wengine wakasema tafuta hela, wengine wakashuka matusi, ila nikakaambali na ile pisi.
Sasa wiki kama mbili hivi zilizopita kuna mdada nilimtania tu facebook akatokea kunipenda sana, akaomba namba zangu nini, nikaingia nae chimbo kwa maaana whatsapp kama unavojua mtu akikufuata lazima utataka kumfahamu.
Basi demu namuuliza unamiaka mingap anasema 30, afu anasema anawatoto 4, aaaah nikijicheki nina 23 mmmh! Nikaona hapa mbona kazi ipo!
Sasa ndgu zangu huyu manzi akaniomba picha nikamtumia, akaniaifia sana mara hendsome nini! Mara anajuta kuwahi kuolewa. Nikamuuliza kumbe uliolewa, manzi anasema ndiyo ila wameachana na bwana wake.
Sasa manzi jana nimechat nae mara atoe voice za miguno, mara alegeze sauti, mara aniringie, nikamwambia mimi naogopa kuwa nae kwa maaana sihitaji mahusiano naye.
Manzi kanivuta mpaka nimemuelewa, ila kinachonipa maswali ameniambia nikipata likizo nikakae kwake kama pesa yeye atatafuta ila nilale naye, nikae nae, na amesema anataka nimuoe.
Ndgu zangu wana JF, naomba mnishauri hii manzi kweli hata ungekua wewe ungekubali kukaaa nayo? Na je, unaweza kuoa mtu alokupita miaka 7?
Ujinga mtupuHabari za sahivi wana JF, mim ni yule kijana kama mnakumbuka nilikuja kuomba ushauri juu ya kukataliwa ukweni ,kila mtu akasema yake. Wengine wakasema tafuta hela, wengine wakashuka matusi, ila nikakaambali na ile pisi.
Sasa wiki kama mbili hivi zilizopita kuna mdada nilimtania tu facebook akatokea kunipenda sana, akaomba namba zangu nini, nikaingia nae chimbo kwa maaana whatsapp kama unavojua mtu akikufuata lazima utataka kumfahamu.
Basi demu namuuliza unamiaka mingap anasema 30, afu anasema anawatoto 4, aaaah nikijicheki nina 23 mmmh! Nikaona hapa mbona kazi ipo!
Sasa ndgu zangu huyu manzi akaniomba picha nikamtumia, akaniaifia sana mara hendsome nini! Mara anajuta kuwahi kuolewa. Nikamuuliza kumbe uliolewa, manzi anasema ndiyo ila wameachana na bwana wake.
Sasa manzi jana nimechat nae mara atoe voice za miguno, mara alegeze sauti, mara aniringie, nikamwambia mimi naogopa kuwa nae kwa maaana sihitaji mahusiano naye.
Manzi kanivuta mpaka nimemuelewa, ila kinachonipa maswali ameniambia nikipata likizo nikakae kwake kama pesa yeye atatafuta ila nilale naye, nikae nae, na amesema anataka nimuoe.
Ndgu zangu wana JF, naomba mnishauri hii manzi kweli hata ungekua wewe ungekubali kukaaa nayo? Na je, unaweza kuoa mtu alokupita miaka 7?
Kunielewa mimi au kuulewa uzi??šNasikitika hata kuelewa Mkuu