Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,555
Age is just a number!
Yani unataka kuoa mtu mwenye watoto 4? Serious kabisa mkuu? Hauko sawa weweHabari za sahivi wana JF , mim ni yule kijana kama mnakumbuka nilikujaga kuomba ushauri juu ya kukataliwa ukweni kila mtu akasema yake wengine wakasema tafuta hela wengine wakashuka matusi ila nikakaambali na ile pisi sasa wiki kama mbili hivi zilizopita kuna mdada nilimtania tu facebook akatokea kunipend sana akaomba namba zangu nin!nikaingia nae chimbo kwa maaana whatsapp kama unavojua mtu akikufuata lazima utataka kumfahamu bhas dem namuuliza unamiaka mingap anasema 30 , afu anasema anawatoto 4 aaaah nikijicheki nina 23 mmmh ! Nikaona hapa mbn kazi ippo
Sasa ndgu zangu huyu manzi akaniomba picha nikamtumia akaniaifia sana mara hendsome nin ! Mara anajuta kuwahi kuolewa . nikamuuliza kumbe uliolewa manzi anasema ndyo ila wameachana na bwana wake . sasa manzi jana nimechat nae mara atoe voice za miguno mara alegeze sauti mara aniringie nikamwambia mm naogopa kuwa nae kwa maaana sihitaj mahusiano nae manzi kanivuta mpaka nimemuelewa ila kinachonipa maswali ameniambia nikipata likizo nikakae kwake kama pesa yeye atatafuta ila nilale nae nikae nae na amesema anataka nimuoe ndgu zangu wana JF .naomba mnishauri hii manzi kweli ata ungekua wew ungekubali kukaaa nayo ??na je unawesa kuoa mtu alokupita miaka 7
We Bado Ni mtoto afu inaonekana una wenge maneno ya huyo dada inaonekana hajawahi ambiwaHabari za sahivi wana JF , mim ni yule kijana kama mnakumbuka nilikujaga kuomba ushauri juu ya kukataliwa ukweni kila mtu akasema yake wengine wakasema tafuta hela wengine wakashuka matusi ila nikakaambali na ile pisi sasa wiki kama mbili hivi zilizopita kuna mdada nilimtania tu facebook akatokea kunipend sana akaomba namba zangu nin!nikaingia nae chimbo kwa maaana whatsapp kama unavojua mtu akikufuata lazima utataka kumfahamu bhas dem namuuliza unamiaka mingap anasema 30 , afu anasema anawatoto 4 aaaah nikijicheki nina 23 mmmh ! Nikaona hapa mbn kazi ippo
Sasa ndgu zangu huyu manzi akaniomba picha nikamtumia akaniaifia sana mara hendsome nin ! Mara anajuta kuwahi kuolewa . nikamuuliza kumbe uliolewa manzi anasema ndyo ila wameachana na bwana wake . sasa manzi jana nimechat nae mara atoe voice za miguno mara alegeze sauti mara aniringie nikamwambia mm naogopa kuwa nae kwa maaana sihitaj mahusiano nae manzi kanivuta mpaka nimemuelewa ila kinachonipa maswali ameniambia nikipata likizo nikakae kwake kama pesa yeye atatafuta ila nilale nae nikae nae na amesema anataka nimuoe ndgu zangu wana JF .naomba mnishauri hii manzi kweli ata ungekua wew ungekubali kukaaa nayo ??na je unawesa kuoa mtu alokupita miaka 7
Anatafuta mtu wa kucheza na wanae 🤣 (natania)Kingine mimi namaliza chuo mwaka huu isije ikawa ananyemelea tu anipulule vijisenti japo yeye ndo anasema atanipa kila kitu sijui hata kanipendea nin?? Daaah
Wako karibu na Buza kwa "MPALANGE"....
🤣🤣🤣 Ngoja amalize chuo ataelewa vzuriWe una matatizo ya akili , kwa hio ukimaliza hell unatoa wapi au ndo unajua Kuna nafasi zinasubiri umalize chuo😁
Wewe huna uhuni wowote Ni mchumba tu kwanzia namna unajielezea ,, nikisema nitume screenshot huku, voice na ma picha naked patajaa huku Sasa wewe manzi mwenye watoto unafungulia thread😂Sema dem anasema anajua mapenz na kwel anashow arafu kanidatisha sauti yake miguno nin anasema nikitaka zaid niende kwake daaah kmmke wauni tunapitia mengi magumu
Hataamini la Saba ndiye atakuwa msaada wake hela za vocha🤣🤣🤣 Ngoja amalize chuo ataelewa vzuri
Hivi ataweza school fee za watoto wanne huyu jamaa? Labda kama watasoma hizi shule za bure za Samia. watu wa JF hebu mpeni ushauri unaomfaa. Inaonekana huyu jamaa anafikiria tu "****" ya bure, kumbe hajui kuna "string attached"....Wewe kijana mdogo hebu tulia uhangaikie maisha yako na ujiweke sawa.Hivi ataweza school fee za watoto wanne
Kutafuta kurumbembe lenye watoto wanne na mkubwa kiumri kwa sababu gani?
Punguza uzinifu jenga maisha yako ya baadae.
Wachache?? 2M X 4 = 8M...Huyo jamaa ataweza kweli? Maana hizo bill lazima zitaamia kwake baadae.Watoto wanne ni wachache tu hao
Wewe subiri ukue kwanza.Habari za sahivi wana JF , mim ni yule kijana kama mnakumbuka nilikujaga kuomba ushauri juu ya kukataliwa ukweni kila mtu akasema yake wengine wakasema tafuta hela wengine wakashuka matusi ila nikakaambali na ile pisi sasa wiki kama mbili hivi zilizopita kuna mdada nilimtania tu facebook akatokea kunipend sana akaomba namba zangu nin!nikaingia nae chimbo kwa maaana whatsapp kama unavojua mtu akikufuata lazima utataka kumfahamu bhas dem namuuliza unamiaka mingap anasema 30 , afu anasema anawatoto 4 aaaah nikijicheki nina 23 mmmh ! Nikaona hapa mbn kazi ippo
Sasa ndgu zangu huyu manzi akaniomba picha nikamtumia akaniaifia sana mara hendsome nin ! Mara anajuta kuwahi kuolewa . nikamuuliza kumbe uliolewa manzi anasema ndyo ila wameachana na bwana wake . sasa manzi jana nimechat nae mara atoe voice za miguno mara alegeze sauti mara aniringie nikamwambia mm naogopa kuwa nae kwa maaana sihitaj mahusiano nae manzi kanivuta mpaka nimemuelewa ila kinachonipa maswali ameniambia nikipata likizo nikakae kwake kama pesa yeye atatafuta ila nilale nae nikae nae na amesema anataka nimuoe ndgu zangu wana JF .naomba mnishauri hii manzi kweli ata ungekua wew ungekubali kukaaa nayo ??na je unawesa kuoa mtu alokupita miaka 7
Anaelekea 24 yrs huku mimi naelekea 37 yrsDemu ni under 25 huyo wako ni mwanamke wako
Dooooh sorry, kukurupuka huku aisee.Anaelekea 24 yrs huku mimi naelekea 37 yrs
Kuwa na amani mkuuDooooh sorry, kukurupuka huku aisee.
Nikajua umeandika amekuzidi.
Kumradhi mkuu acha nifute ile comment.