Ananitaka kimapenzi na amenizidi umri, nifanyaje?

Ananitaka kimapenzi na amenizidi umri, nifanyaje?

Habari za sahivi wana JF , mim ni yule kijana kama mnakumbuka nilikujaga kuomba ushauri juu ya kukataliwa ukweni kila mtu akasema yake wengine wakasema tafuta hela wengine wakashuka matusi ila nikakaambali na ile pisi sasa wiki kama mbili hivi zilizopita kuna mdada nilimtania tu facebook akatokea kunipend sana akaomba namba zangu nin!nikaingia nae chimbo kwa maaana whatsapp kama unavojua mtu akikufuata lazima utataka kumfahamu bhas dem namuuliza unamiaka mingap anasema 30 , afu anasema anawatoto 4 aaaah nikijicheki nina 23 mmmh ! Nikaona hapa mbn kazi ippo
Sasa ndgu zangu huyu manzi akaniomba picha nikamtumia akaniaifia sana mara hendsome nin ! Mara anajuta kuwahi kuolewa . nikamuuliza kumbe uliolewa manzi anasema ndyo ila wameachana na bwana wake . sasa manzi jana nimechat nae mara atoe voice za miguno mara alegeze sauti mara aniringie nikamwambia mm naogopa kuwa nae kwa maaana sihitaj mahusiano nae manzi kanivuta mpaka nimemuelewa ila kinachonipa maswali ameniambia nikipata likizo nikakae kwake kama pesa yeye atatafuta ila nilale nae nikae nae na amesema anataka nimuoe ndgu zangu wana JF .naomba mnishauri hii manzi kweli ata ungekua wew ungekubali kukaaa nayo ??na je unawesa kuoa mtu alokupita miaka 7
Oyaa we unawaza miaka 7
Mimi natafuta atakayenizidi miaka 15 iv!!?
Aseee we angalia kama ana akili na anajielewa jenga naye maisha hawa madogo wa 20's ni kichomi saana🤝
 
Habari za sahivi wana JF , mim ni yule kijana kama mnakumbuka nilikujaga kuomba ushauri juu ya kukataliwa ukweni kila mtu akasema yake wengine wakasema tafuta hela wengine wakashuka matusi ila nikakaambali na ile pisi sasa wiki kama mbili hivi zilizopita kuna mdada nilimtania tu facebook akatokea kunipend sana akaomba namba zangu nin!nikaingia nae chimbo kwa maaana whatsapp kama unavojua mtu akikufuata lazima utataka kumfahamu bhas dem namuuliza unamiaka mingap anasema 30 , afu anasema anawatoto 4 aaaah nikijicheki nina 23 mmmh ! Nikaona hapa mbn kazi ippo
Sasa ndgu zangu huyu manzi akaniomba picha nikamtumia akaniaifia sana mara hendsome nin ! Mara anajuta kuwahi kuolewa . nikamuuliza kumbe uliolewa manzi anasema ndyo ila wameachana na bwana wake . sasa manzi jana nimechat nae mara atoe voice za miguno mara alegeze sauti mara aniringie nikamwambia mm naogopa kuwa nae kwa maaana sihitaj mahusiano nae manzi kanivuta mpaka nimemuelewa ila kinachonipa maswali ameniambia nikipata likizo nikakae kwake kama pesa yeye atatafuta ila nilale nae nikae nae na amesema anataka nimuoe ndgu zangu wana JF .naomba mnishauri hii manzi kweli ata ungekua wew ungekubali kukaaa nayo ??na je unawesa kuoa mtu alokupita miaka 7
Nipe namba zake tumuonye asisumbue watoto
 
Oyaa we unawaza miaka 7
Mimi natafuta atakayenizidi miaka 15 iv!!?
Aseee we angalia kama ana akili na anajielewa jenga naye maisha hawa madogo wa 20's ni kichomi saana[emoji1666]
Daaah broo we ndo naona umeongea ila vip kuhusu watoto hao 4 ndgu wanne wanne aaaah??
 
Skia mzee wa kazi

Kwanza maisha ni kuchagua, yani ni wewe uamue upite njia ipi, kama umeamua upite njia ya umarioo it's ok.

Pili Kuna vitu tunafanya Kwa matokeo ya muda mfupi na vingine tunafanya Kwa matokeo ya muda mrefu, kama umeangalia kinachokuja mbelen sawa Kila la kheri

Tatu, Kwa chochote unachofanya leo hii, chochote kile hata kupiga tu mswaki, Kwa namna moja au nyingine kitaathiri kesho yako Kwa uzuri au ubaya, kama umeshaangalia all the possible benefits and the harms you may encounter, ok i wish you all the best.

Kubwa zaidi hilo limama unataka upige upite, awe mchumba wako au unataka ulioe?

Ushauri wangu achana nae ila ukienda mbali sana lichape liacheee

Kwa yote aliyokuambia amekumbia 0.0001% tu ya yeye na mambo yake kwa ujumla ambayo pia yanaweza kuwa ya uongo, TAKE CARE
 
Back
Top Bottom