Ananipima au hanitaki?

Pole!!
 
Eeee unataka uvishwe shela upite altarini kwa madaha, bilashaka wew shida yako ni harusi na sio ndoa na kama umemwbia jamaa shida yako hiyo ahhh! Trust me utabaki kumskia kwenye redio tuu..

Ahya njoo unijub swali langu kabla sijakushauri, kama wew unamiaka 30, yeye jamaako ana umri gani?? manaake nina wasi wasi unalazimisha ndoa kwasabau muda umeshakuacha
 

hahahaha hivi kwanini nyie vijana wa siku hizi mapenzi yanawaumiza?sasa kama haeleweki si utafute mwingine tena siku hizi wanawake wanatafutwa kidigitali kwa simu,intaneti ,radio,magazeti enzi zetu tulikuwa tunafanya booking ya mke mimba inapotungwa sasa hapo likitoka dume mchakato wa kutafuta mke unaanza upya.
 
du pole sana, ila kumbe jibu unalo kuwa wewe unataka ndoa basi sepa subir wa kukuoa, huyo shida yake ni mtoto, ndoa gharama mama. hakuna sherehe ndogo
 
mnanichanganya bandugu..ndoa ni nin? Ni kwenda kwenye nyumba ya ibada na kutangazwa mke na mume na baadae kwenye tafrija (ndogo au kubwa)??? AU ndoa ni makubaliano ya mtu mke na mtu mme kuish pamoja kwa hali zote hadi kifo??? Kama ni tafsr ya kwanza bas kuzaa kabla ni kosa kubwa na kama ni ya pili basi kuzaa ni sehemu mojawapo ya makubaliano hayo.
 

Kwa hiyo akitangulia mtoto then ndoa ndio itadumu milele?
 

pole Aliccia, labda utufahamishe huyo mchumba wako ni kabila gani/mtu wa wapi, na ana umri gani (isije ikawa yupo desperate kupata mtoto). Umeshawahi kutambulishswa kwa wazazi wake? umemchunguza hana mwanamke mwingine?
 
Last edited by a moderator:
umebakisha miaka mi 5 tu ya kupata mtoto..endelea kusubir ndoa
 
pole!! ila natumai kuna mambo umeyaonesha kwa jamaa!! tatizo mapenzi ya sasa yamejaa keroo!! maudhi!! uongo!! jitazame upya!! yawezekana hukuwa hivyo hapo awali!
 
!
!
akupime kwani we mchele?
kuoa ni sawa na kujumlisha hasi na siku hizi hatutaki kujumlisha hasi...habari ya kuchukua gunia la matatizo kulileta ndani halipo. Umeshasema kwa sasa anachotaka ni mtoto tu. Angalia na wewe kama unataka mtoto kwa sasa zaa ila hilo swala la sijui mpaka uzae ndio akuoe sio garantii. Hapo anachotaka ni visingizio tu........kama vipi mteme wanaume tupo kibao japo wote karibia ni heat and run, hatuna muda WA KUPENDA
 
Bi mdada pole kwa hayo yaliyo kukuta.... Nahisi hakuna lugha "ndoa" baada ya we kuzalishwa .... Shtuka na angalia pembeni kabisa.... Zingatia na umri wako Huo pia.... Lakini usikurupuke... Umri ukiufanya ukawa shinikizo kuna hatari ya kuingia mlango ambao sio.... Pole again!.
 
nikusaidie tu kwa huyo shela huvai na mtoto hupati.......amesha kustukia umekomaa hustahili hiyo sasa bora ionekane ulishazaa then mpashre kiporo

thats too mean mkuu! Watu wanaolewa even over 35! Basi tuu ampate mtu sahihi
 


ndoa hailazimishwi , na usijaribu kupata mimba kabla ya ndoa.
 

Aisee........
 
Kama bidada mnapendana kwa dhat ni vyema mkafanya maamuzi kwa pamoja. Mimi ninachotambua upendo wa kweli yaani usio wa kubabaisha ukiwepo kwenye mahusiano hakuna ubabe mtakaa na kupatana kuwa hili linawezekana kabla ya hili lingine na atakupa sababu za kwa nini mzae kwanza na sio ndoa. Na kama ulishamwambia huwezi zaa kabla ya ndoa tangu mwanzo na sasa ameshikilia wewe uvunje nadhiri yako basi bila shaka atakuwa amekuchoka. Mahusiano ya sasa lazima mungu atangulie mbele maana hata wapenzi walioonekana kuwa na mapenzi ya dhati wanaweza kukuzalisha na kukuacha bila aibu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…