dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,907
- 8,246
Kuna mdada mmoja ananipenda na mimi na mpenda lakini ni meomba gam
Hahaaaaa.....mwanaume hasıfıwı sura lakınıUnajifariji tuu... huyo hakupendi ht chembe. angekuwa anakupnda angekupa. Pia yawezekana huna mvuto una sura mbaya km ya Wasira,a au Mizengo Pind
Anataka kujua kama yalıyomo yamoKama kweli nawe unampenda, chukua hatua. Nenda kwa wazazi wake katoe posa.
Acha zinaa