Kalumbesa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,013
- 356
Ni miezi mitatu sasa naenjoy maraha tele ya binti wa kitanzania aliye masomoni Netherland.
usiku tunajinafas vya kutosha kwa kuoneshana kila kitu.
Kwangu hoja ya distance relationship doesnt work ni kama hoja isiyo na mashiko.
Naenjoooooooooy!
Kweli? yote unayaacha kwenye skype? isije kuwa unayaendeleza bafuni? au mzuka ukipanda unaelekea mitaa ya corner bar..Ok otherwise endelea ku enjoy