Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,748
- 91,814
Hahahahahaha wee chizi kweliNgoja nikumegee siri
If I want a man I get him
Huyo mume wa mtu was purposely na ndio maana nilimuacha siku hio hio sijui kama hata unaelewa au unasoma kwa kujibu haraka haraka
Kama nilikuwa namtegemea ingenichukua muda sana kutoka kwake kwa taarifa tu
Mimi sijafika hata 36lakini nadhani nikifika hapo pia nitamshukuru Mungu
Am trying to show you kuna vitu unajiaminisha unavijua ila huvijui
Anyway daktari upo department gani nitafute kiugonjwa nije,upo muhas au wapi?



et ndio maana nilimuacha siku hiyohiyoDanganya toto hiyo





Kikubwa nikwamba, Wanawake mnaroho yenu yakipekee tu yenye huruma basi.
Ndio maana utajua kabisa mchizi fulan ni muhuni balaa, lkn bado mtoto wa kike utapelekea Upigwe risasi



Haya mengine njoo PM tuyajengee mwayaa, kama upo singida, nipokee leo nakuja huko
lakini nadhani nikifika hapo pia nitamshukuru Mungu

