shining star
Member
- Oct 22, 2010
- 28
- 56
Kuna kijana nampenda na anajua hilo na yeye anadai ananipenda ila hawezi kuwa kuwa distant relationship which means hawezi kuwa nami.
Cha ajabu ni kwamba mara kwa mara huniita mama Lily (not real name) Lily likiwa ni jina la mtoto wake aliyezaa na mwanamke mwingine ambae anasema hawezi kumuoa kwa sababu wanazozijua wao.
Tatizo ni kwamba kuniita hvyo ananifanya nijisikie kama sehemu ya maisha yake na husema ananipenda pia, what is keeping him from being with me? distance?really?
Naogopa kuwa na false hope na kumsubiri nikajikuta nakuwa single at 30 lol
Ushauri please
Cha ajabu ni kwamba mara kwa mara huniita mama Lily (not real name) Lily likiwa ni jina la mtoto wake aliyezaa na mwanamke mwingine ambae anasema hawezi kumuoa kwa sababu wanazozijua wao.
Tatizo ni kwamba kuniita hvyo ananifanya nijisikie kama sehemu ya maisha yake na husema ananipenda pia, what is keeping him from being with me? distance?really?
Naogopa kuwa na false hope na kumsubiri nikajikuta nakuwa single at 30 lol
Ushauri please