Mbn waguna!??? Mwenzio nakupenda ila naogopa ,....Nina wivu mnoo, nilitamani babuu unisitiri ila unaonekana kicheche km kile kinachokula kuku alafu Nina wivu naweza nikakuloga ukichepuka jogoo asiwikee,,, kuliko tabu zote hizooo nimeona bora kachache tuuu hata kuku watakula babu Asprin huyooooMmmmhhhh....
Duh... yani umeamua kunipiga chini hadharani namna hii??Mbn waguna!??? Mwenzio nakupenda ila naogopa ,....Nina wivu mnoo, nilitamani babuu unisitiri ila unaonekana kicheche km kile kinachokula kuku alafu Nina wivu naweza nikakuloga ukichepuka jogoo asiwikee,,, kuliko tabu zote hizooo nimeona bora kachache tuuu hata kuku watakula babu Asprin huyoooo
Tena babu daby anavyokukubali utapita bure bila kutoa hata njiwa
cc: Daby
haya twende pm nijakumalizie kule, huo moyo vipi umekua boga lilipikwa ndiyo upondeke!???Duh... yani umeamua kunipiga chini hadharani namna hii??
Si bora ungenipigia PM tu??
Moyo wangu umepondekapondeka...
We sawa tu. Mi namuachia Mungu maana akili na uwezo wangu vimeshafika ukingoni.haya twende pm nijakumalizie kule, huo moyo vipi umekua boga lilipikwa ndiyo upondeke!???
mda unazidi kuyoyoma tu nasibiri dawa ya chuchuWe sawa tu. Mi namuachia Mungu maana akili na uwezo wangu vimeshafika ukingoni.
Nakusubiri PM ukanizike kabisa....
mda unazidi kuyoyoma tu nasibiri dawa ya chuchu alafu ukishanipa dawa ndiyo utubu midhambi yako yotee, alafu nikuzike
Twende kwenye thread ya chuchu... hapa tumevamia thread ya watu wenye dini zao...mda unazidi kuyoyoma tu nasibiri dawa ya chuchu
yani babu wewe sikuwezi kwa kweli, alafu wew na Daby ni pipa na mfunikoo wew ndiyo unamfundisha kuwa na mabibi wengii ....kama mbegu za komamangaTwende kwenye thread ya chuchu... hapa tumevamia thread ya watu wenye dini zao...
Siyo atakuona Bwege je mapenzi yamekutawala kiasi gani hadi unamuasi Mungu!? Maana ya Dini ni njia na Yesu ndiye njia soma Yohana14:6 ASA wewe imekuaje kuacha njia kwaajili ya tamaa ya mwiliHabari bests zangu jf...
Mojamoja kwa moja nielekee kwenye mada..
Kuna mtoto fulani shombe shombe fulani ivi rangi ya Kiarabu,ni dhehebu la Islamic...nimetokea kumpenda sana......,,,MIMI NI ROMAN
Tatizo lake ameniambia kama nampenda nibadirishe Dini ili mambo yaende vizuri..la sivyo itakuwa ngumu..
Nifanyeje ndugu zangu na moyo ndo ushapenda ivo..
Je nikibadilisha si ataniona bwege ?