Kisaka80
Senior Member
- Feb 4, 2012
- 151
- 94
Kama analipa na uko single why not......ama wewe ni lile kundi la tatu. Chengine ukifika anza kuhubiri......
Mimi nakuzimia longtime...kitambo...sasa sikuelewi msimamo wako siku zote hizi au ndo mpaka nipige magoti kama kule kwetu ndo utajuakweli nimekuzimia mydear?? I real fall in love with you period!!!!