prianka
JF-Expert Member
- Aug 29, 2012
- 684
- 168
yatatokea kama utakua hujiamini lbd unaogopa so kwa wafanyakazi wenzio ambao uliwabwaga unaona hauta kaa kwa amani lkn kama hauna mke au hauna demu uliye na malengo naye yanini uogope wakati kitu kimhapa si suala la ndoa. Mbona tunapiga tu na ndoa zimesimama fresh hasa.
mapenzi kazini yanaleta matatitho.
eingia laini chenyewe bwana