Anameremeta..., anameremeta... x2

Anameremeta..., anameremeta... x2

Mag3

Platinum Member
Joined
May 31, 2008
Posts
13,592
Reaction score
23,954
1. Anameremeta..., anameremeta... x2
Dalaly anameremeta, anameremeta...........

2. Anameremeta..., anameremeta... x2
Peter anameremeta, anameremeta..........

3. Anameremeta..., anameremeta... x2
Kafumu anameremeta, anameremeta.......

Untitled-1.jpg
Mgombea wa CCM Igunga
Dr. Dalaly Peter Kafumu
Kamishna wa Madini mstaafu
Hakika anapendeza.
 
Anatafuta ubunge baadae utackia waziri,hana njinsi ataakiambiwa avae utunda azavaa tu
 
Alishindwa kuwasaidia akiwa kamishina, ataweza leo akiwa mstaafu - uwezo wa kutenda kazi ukiwa umepungua?
Gamba jingine, Sera za chama chake zimemtoa hana la kufanya anatafuta angalau mshahara wa kusogezea ustaafu.
 
anameremeta na nini?mbona sijaona?kwanza mimi nilijua mwanajf mwenzetu kaolewa
 
Alishindwa kuwasaidia akiwa kamishina, ataweza leo akiwa mstaafu - uwezo wa kutenda kazi ukiwa umepungua?
Gamba jingine, Sera za chama chake zimemtoa hana la kufanya anatafuta angalau mshahara wa kusogezea ustaafu.
Hata kulamba viatu anaweza.
 
Back
Top Bottom