endrizzy
Senior Member
- Oct 19, 2015
- 186
- 137
south africa abortion is legal so usipanic chill, kama mtu hajajipanga ni bora aue kijusi kuliko kumtesa mtotomwache aue tu kwan kina siku atakumbuka mauaji hayo
south africa abortion is legal so usipanic chill, kama mtu hajajipanga ni bora aue kijusi kuliko kumtesa mtotomwache aue tu kwan kina siku atakumbuka mauaji hayo
Weweesouth africa abortion is legal so usipanic chill, kama mtu hajajipanga ni bora aue kijusi kuliko kumtesa mtoto
DuuhWakuu habarini,
Nina mwanamke wangu tupo nae chuo na ananilazimisha kutoka mimba.
Mara ya kwanza alitoa pia kwakulazimisha na sasa anataka tena kutoa mimba ivi kweli anamapenzi ya dhati au anamaanisha nini.