Wakuu habarini,
Nina mwanamke wangu tupo nae chuo na ananilazimisha kutoka mimba.
Mara ya kwanza alitoa pia kwakulazimisha na sasa anataka tena kutoa mimba ivi kweli anamapenzi ya dhati au anamaanisha nini.
Bahati mbaya imetokea AF tupo chuo
DuuhUmemuoa? au unalalamika hakuzalii kama nani? wacha atoe ukiwa mmewe atazaa.
Sasa si uvae kinga? Unakuwa mshamba wa K unashindwa kujilinda na kumlinda mwenzako?Et anasema hatoweza kufaulu masomo
PoleMwambie atoe na uzazi kabisa kuliko kutudharirisha sisi wanawake wenzie tunahangaika usiku kucha kutafuta watoto hatuwapati
Kaenda kutoa kisiri mkuuSasa si uvae kinga? Unakuwa mshamba wa K unashindwa kujilinda na kumlinda mwenzako?
Kuzaa sio kula kashata, kulea ni issue ndugu yangu.
Kuwa makini utakuja kujuta.
Kwa sasa fanya juu chini hio mimba isitoke
Hatari unaambiwaJuxx wa chuo
UMEFANYA VIZURI USIUE NDIO AMRI YA MUNGUWakuu habarini,
Nina mwanamke wangu tupo nae chuo na ananilazimisha kutoka mimba.
Mara ya kwanza alitoa pia kwakulazimisha na sasa anataka tena kutoa mimba ivi kweli anamapenzi ya dhati au anamaanisha nini.
HahaaJuxx wa chuo