Analazimisha kutoa mimba ya pili

Analazimisha kutoa mimba ya pili

haupendwi we ni wa muda ambao mupo chuon kusindikizana mukimaliza basi penzi limeisha sasa we unataka akuzalie alafu baadae uanze kumtafuta mwanao utakuwa unamsumbua
 
Wakuu habarini,

Nina mwanamke wangu tupo nae chuo na ananilazimisha kutoka mimba.

Mara ya kwanza alitoa pia kwakulazimisha na sasa anataka tena kutoa mimba ivi kweli anamapenzi ya dhati au anamaanisha nini.
Inaweza akawa na mapenzi ya dhati
Ila hana utayar wa kuzaa kwakipindi hiki
 
Ameshakuona wewe si baba imara!!! Au pia hakupendi!!!! Hataki kuwa single mother!!!! Una mapungufu hujamhakikishia kuwa wewe ni wake ili awe na imani na wewe. Hakuna future kati yenu kila mtu ashike njia yake tu hakuna namna.
 
muache atoe mkuu mtoto wa nini we endelea kula bata chuoni usipende kijipa majukumu yasiyo na ulazima shauri yako utazeeka vimwana vya chuo utavikosa
 
Wakuu habarini,

Nina mwanamke wangu tupo nae chuo na ananilazimisha kutoka mimba.

Mara ya kwanza alitoa pia kwakulazimisha na sasa anataka tena kutoa mimba ivi kweli anamapenzi ya dhati au anamaanisha nini.

Labda sio ya kwako hiyo
Anaua soo
 
Wakuu habarini,

Nina mwanamke wangu tupo nae chuo na ananilazimisha kutoka mimba.

Mara ya kwanza alitoa pia kwakulazimisha na sasa anataka tena kutoa mimba ivi kweli anamapenzi ya dhati au anamaanisha nini.
Toa tu.. Sacrifices are licit..
 
Kwa nini ulimpa mimba tena, jamani???

Si nilikwambia usimpe tena mimba????
 
Kwa sasa unashangaa kwa nini anatoa mimba? ndio ni dhambi kubwa tena ya kukemewa na kuna madhara mengi ambayo anaweza kuyapata.

Hebu jitafakari kwa nini hataki kuzaa na wewe?
je una malengo ya kumuoa baadaye au unamfanya kama kiwanda cha kuzalisha watoto halafu unambwaga unaoa mwingine? halafu unakuwa wa kwanza kuwasema single mothers?

kwa nini hamkutumia kondom?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom