PEVU HALISI
JF-Expert Member
- Dec 19, 2018
- 207
- 85
Ni manzi pini kiasi chake. Ila ugomvi wake mkubwa anakasirika simpost kwenye mitandao ya kijamii.
Mi namwambia, baby we nimekupost kwenye moyo huko kwenye mitandao sio kipimo cha upendo, hanielewi kabisa na kukasirika juu.
Eti, wadau... Namuonea kwani??
Mi namwambia, baby we nimekupost kwenye moyo huko kwenye mitandao sio kipimo cha upendo, hanielewi kabisa na kukasirika juu.
Eti, wadau... Namuonea kwani??
