Chemiker
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 506
- 108
Mbele ya mtumishi wa Mungu, Bwana harusi bila woga ni pale alipouulizwa unakitu gani kama ishara ya upendo wenu? Basi akafungua zip akaitoa na kuanza kuiingiza kwa mkewe! Bibi harusi bila woga akainganganiza hadi ikapita, basi watu wote wakashangilia na kupiga makofi kwani hawakuamini ilivyokuwa inaingia ile pete ya Ndoa. :frog: