Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,802
- 71,229
Bado hatujajiuliza kwa mini watu wanakwepa kodi? Rais mwenyewe amewahi kusema kuwa kodi zetu sio rafiki na zimekaa kikukomoana jee nani Amelishughulikia hilo?
Kama MTU hawezi kukwepa kodi na iliyoko sio rafiki kwa mini afanye biashara ya hasara? Anaacha kwanza
Kama MTU hawezi kukwepa kodi na iliyoko sio rafiki kwa mini afanye biashara ya hasara? Anaacha kwanza