Anahitajika mwanaume aliyetayari kuwa mume

Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato

Mengine tutajuzana PM, karibu.
ok
 
Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato

Mengine tutajuzana PM, karibu.
Huu utafiti wa behavioural traits in the contemporary dimensions ni burudani sana
 
Unamaanisha nini?
Inawezekana kuna namna nyingi za kupata mume au mke kwa hio natafakari baadhi ya hizo namna mfano kibinadamu zaidi, Kimungu zaidi, kimtazamo binafsi zaidi, kimtizama wa Mungu zaidi, na mengineyo kwa hio huwa naendelea kufanya utafiti hasa those wishes za vigezo on perspectives
 
Inawezekana kuna namna nyingi za kupata mume au mke kwa hio natafakari baadhi ya hizo namna mfano kibinadamu zaidi, Kimungu zaidi, kimtazamo binafsi zaidi, kimtizama wa Mungu zaidi, na mengineyo kwa hio huwa naendelea kufanya utafiti hasa those wishes za vigezo on perspectives
Yote kati yote mwenza mwema atoka kwa Bwana(Mungu), haijalishi utakutana naye vipi au wapi bila msaada wa Mungu huwezi kumpata mwenza mwema. Vinginevyo utajilisha upepo tu na baada ya muda mfupi utajilaumu kwa maamuzi ya kuoa au kuolewa.
 
Yote kati yote mwenza mwema atoka kwa Bwana(Mungu), haijalishi utakutana naye vipi au wapi bila msaada wa Mungu huwezi kumpata mwenza mwema. Vinginevyo utajilisha upepo tu na baada ya muda mfupi utajilaumu kwa maamuzi ya kuoa au kuolewa.
Sawia kbsa best wishes, vipi hujapunguza idadi ya watoto?
 
Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato

Mengine tutajuzana PM, karibu.
Kuna bigexo mnawela sijui hamjui au m ajua...mfano...kazi au asiwe na ndoa au shughuli ya kumuingizia kipato? Huyo Mwanaume do you think he is there waiting to provide tu....what are going to offer him in return? Mnakosea mno. Nowdays Men hatuhitaji stubborn woman Hasa kwenye demanding
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom