Kuna jamaa kanipa kazi ya kutafuta mtu aliyesoma uhasibu (Fresh toka shule) ili afanye naye kazi kwa kujitolea ili apate uzoefu. Katika kujitolea atawezeshwa kupata fedha kwa ajili ya kujikimu. Anayetakiwa ni msichana anayeishi Dar ofisi ipo maeneo kati ya Magomeni na Manzese. Kama kuna mtu unamfahamu please mpe ujumbe huu