Anahatarisha uhai wa ndoa yangu

Anahatarisha uhai wa ndoa yangu

Akili ya maisha,elimu ya darasani na pesa unayo Sana,ila inasikitisha Sana elimu ya ndoa Ni sifuri..
Wewe brother ni Zaidi ya mhuni
Nikuulize swali,mwanaume anatakiwa apate nini kwa mwanamke na kwa mara ngapi?
 
Nimekuwa na uhusiano wa pembeni wa hapa na pale, kwa ajili ya kupooza injini pale inapopata moto. Mbaya zaidi hawa warembo wangu wamekuwa na tabia ya kunijulia hali hata kama ni usiku wa manane bila kujali muda ule niko na bi mkubwa au la.

Nimejaribu kuwaeleza kila mtu kwa muda wake kuhusu utaratibu wa mawasiliano, lakini baada ya siku mbili tatu tatizo linarudi tena.

Natamani kuwaacha lakini roho inauma. Imenibidi kila ninapokuwa na mwenzangu niblock namba zao ili kunusuru ndoa yangu.

Wakuu tatizo la namna hii huwa mnatatuaje?
Pole wa block tu usimwache mtu kwa maan kuna leo na kesho huwezi jua .
 
Akili ya maisha,elimu ya darasani na pesa unayo Sana,ila inasikitisha Sana elimu ya ndoa Ni sifuri..
Wewe brother ni Zaidi ya mhuni
Huyu ni mtoto tu anacheza na akili zenu. Hakuna mume wa mtu hapo.
 
Back
Top Bottom