Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,347
- 56,075
- Thread starter
- #21
Afya muhimu mkuu,iko salama kabisaNi vizuri pia kupima ukimwi na STIs nyingine, kwani hiyo michepuke pengine nayo inachepuka, pili hujui kama wife naye anachepuka.
Afya muhimu mkuu,iko salama kabisaNi vizuri pia kupima ukimwi na STIs nyingine, kwani hiyo michepuke pengine nayo inachepuka, pili hujui kama wife naye anachepuka.
Hata wazee pia wana michepuko mkuu
ha ha ha,tupate uzoefu kwa wabobezi mkuuNi kweli lakini hakuna anayekuja kuuliza swali kama lako.
Hakika hili ni furushi.Zigo hilo..mkuu hili neno nimetokea kulipenda sana... hahaa
Hakika.Tena la tani milioni![]()
Mkuu,njoo uwe mchepukoHakika hili ni furushi.
Shika adabu yako we mtoto ebo!!!Mkuu,njoo uwe mchepuko
Kuna muda mchepuko unazengua balaa, unakaa na mkeo mnashauriana.. ikiwezekana unamuunganisha na wife. Wife anampiga mkwara mambo yanaenda sawa 🍻🍺Mkuu,unaanzaje kumshirikisha kuhusu uchepukaji wako?
Anahatarisha uhai wa ndoa yangu...
Nimekuwa na uhusiano wa pembeni wa hapa na pale, kwa ajili ya kupooza injini pale inapopata moto.Mbaya zaidi hawa warembo wangu wamekuwa na tabia ya kunijulia hali hata kama ni usiku wa manane bila kujali muda ule niko na bi mkubwa au la.
Nimejaribu kuwaeleza kila mtu kwa muda wake kuhusu utaratibu wa mawasiliano, lakini baada ya siku mbili tatu tatizo linarudi tena. Natamani kuwaacha lakini roho inauma. Imenibidi kila ninapokuwa na mwenzangu niblock namba zao ili kunusuru ndoa yangu.
Wakuu tatizo la namna hii huwa mnatatuaje?
Nini maana ya ndoa ikiwa matatizo madogo madogo kama hayo hutaki kumshirikisha mkeo?
tafuta simu ya mapigano,kadogo dogo hivi...ukirudi hm unakatupia kwenye compact ya spare tyreNimekuwa na uhusiano wa pembeni wa hapa na pale, kwa ajili ya kupooza injini pale inapopata moto. Mbaya zaidi hawa warembo wangu wamekuwa na tabia ya kunijulia hali hata kama ni usiku wa manane bila kujali muda ule niko na bi mkubwa au la.
Nimejaribu kuwaeleza kila mtu kwa muda wake kuhusu utaratibu wa mawasiliano, lakini baada ya siku mbili tatu tatizo linarudi tena.
Natamani kuwaacha lakini roho inauma. Imenibidi kila ninapokuwa na mwenzangu niblock namba zao ili kunusuru ndoa yangu.
Wakuu tatizo la namna hii huwa mnatatuaje?
Kwa hiyo hata wazee wenye nyumba ndogo bado hawajakuwa?Ukishakua utaacha ujinga sasa hivi wewe bado ni kijana na so immature
ha ha ha hatafuta simu ya mapigano,kadogo dogo hivi...ukirudi hm unakatupia kwenye compact ya spare tyre
Sawa mkuuUjinga ujinga tu.
Walioko nje ya ndoa hawajui yaliyomo ndani ya ndoaSiku mkeo akijua akaamua mbivu mbichi akakuachia Ndio utaelewa maana ya ndoa na iheshimiwe na watu wote
Kweli mkuu,ila kwa uhai wa familia kuna mengine si vizuriNi vizuri kumshirikisha.....
Maana mshakuwa mwili mmoja