Anahatarisha uhai wa ndoa yangu

Anahatarisha uhai wa ndoa yangu

Na wewe huna,akilii kwanini usitafute line mpyaa,kwa ajili ya,haoooo.

Ili ukiwa home una zimaa kabisaaaa. Simu unaweka mahalii au kama ni kwenye beg au sehemu yoyote secret.

Simpleee namba yako inabakii kawaida bila shakaaa
Nimepata pointi hapa mkuu
 
Suluhisho ni kutulia ndani ya ndoa yako achana kabisa na hiyo tabia ya michepuko haina afya kwa ndoa yako
 
Hii ni unaanza mapenzi chuo. Unamaliza chuo unapata kazi ndani ya mwezi bila kulaza damu unaamua kumuoa binti uliyekutana naye chuo.

Baada ya vumbi kutulia ndiyo unagundua huyo binti hakuvutii hata kidogo ila ilikua ni unaingia ndoani kisa nyege. So unakua ni kijana wa miaka 25 upo kwenye ndoa ambayo huna hamu nayo huku una michepuko lukuki.

You are young hujui hata kufanya maamuzi but you live in a social media era so you take your problems to the world expecting a solution.

Good luck.
Mkuu nakurekebisha hapo juu, sio vumbi kupungua Sema upepo wakisulisuli kutulia
 
Hivi kwa nini msiwe waaminifu wa ndoa zenu
Katika dunia ya sasa ni wawili katika mia. Wewe unamsikia hata Obama mwenyewe michepuko inamzingua. Rais wa ufaransa wametibuana juzi kati hapo,kisa mchepuko. Mheshimiwa mwenyewe ana tumorozai kibao out huku,mfalme wa Thailand huko juzi tu kamshusha cheo mke tegemeo. Mfalme mswati mwenyewe mke tegemeo anagongwa na waziri mkuu
 
Katika dunia ya sasa ni wawili katika mia. Wewe unamsikia hata Obama mwenyewe michepuko inamzingua. Rais wa ufaransa wametibuana juzi kati hapo,kisa mchepuko. Mheshimiwa mwenyewe ana tumorozai kibao out huku,mfalme wa Thailand huko juzi tu kamshusha cheo mke tegemeo. Mfalme mswati mwenyewe mke tegemeo anagongwa na waziri mkuu
Kweli mkuu,ukiona mtu ametulia sehemu moja inawezekana labda nguvu ziko chini,mdomo mzito,au umasikini unachangia
 
Juu Ya Hili Binafsi Siko Tayari Kukupa Ushauri Wa Nini Ukifanye Kwenye Issue Mzima Ya Hao Michepuko Wako. Elewa Tu Kwamba Nikikupa Ushauri Basi Nitakua Nahusika kwa Namna Moja Au Nyingine Kwenye Huo Ujinga Wako.

Kifupi Niseme Tu Kama Unaipenda Ndoa Yako Acha Unacho Kifanya Tofauti na Hapo Uhai Wa Ndoa Yako Unapungua.
 
Kweli mkuu,umeongea pointi
Yaani mtu anakutafuta usiku, huyo ni wewe ndo umemtengenezea mazingira hayo. Na kuna siku watapiga simu kwa mkeo kabisa kujitamba. Halafu Mwanaume angalia vitu vya kuomba ushauri. Omba ushauri wa kibiashara au kutengeneza hela na si jinsi ya kudeal na michepuko yako ambayo inakupa tu umaskini. Inakupenda sababu unaikatia pochi
 
Akili ya maisha,elimu ya darasani na pesa unayo Sana,ila inasikitisha Sana elimu ya ndoa Ni sifuri..
Wewe brother ni Zaidi ya mhuni
 
Back
Top Bottom