Mkuu mimi najua ofisi zao ziko mtaa wa lindi Ilala
Hiki ndio chama pekee makini kilichobaki cha upinzani, wengine wauza karanga tu...
Mkuu mimi najua ofisi zao ziko mtaa wa lindi Ilala
Hiki ndio chama pekee makini kilichobaki cha upinzani, wengine wauza karanga tu...
Nadhani sio sahihi Chris Lukosi makosa ya labda mtu mmoja ndani ya chama kusema ni makosa ya chama kizima?Mtu amauliza vizuri asaidiwe hayo ya karanga yanatoka wapi?
Mbona na wewe chama chako hatukiiti chama cha wala #Rambirambi ?Au tukakiita chama cha wauaji wa tembo?
Kwanini usiwashauri wajiunge chama cha rafiki yako zitto? (ACT)Nina watu wanatamani kujiunga na chama cha Nccr-mageuzi but hawajui ofisi rasmi za chama zilipo au simu za ofisi anaeweza saidia hili please aweke hapa namba au aseme ofisi zao zilipo