Anaewajua wanyamwezi anisaidie

Anaewajua wanyamwezi anisaidie

nina mahusiano na mwanamke wa kinyamwezi
ninaomba mwenye uelewa anipe tabia zao wakoje kabla sijaingia kwenye kitanzi cha ndoa

wanasifika kwa kubeba mizigo mizito (mizigo gani sijui) hiyo sifa mi nimeisikia tuu, wanaadabu ya nje na ndani namaanisha ya kupiga goti asili na si ile ya nidhamu ya woga. Mengine wacha wengine waje watiririke.
Pia wataalam wa kuunga mboga kwa karanga so ukioa huyo jiandae kula mboga za karanga.
 
wachapa kazi balaa...ila wanapenda kuzaa sana na pia ebu mcheki kama ana cicle cell au ni carrier maana ugonjwa huo uwapata sana wanyanwezi....pia wana maringo balaa.
kama goma lako jeupe basi ujiandae kutoa ng'ombe kama kumi kama mahali.
 
Hawatulii na mwanamume mmoja ni wanawake wa mafiga matatu, kwa limbwata ndo wenyewe na pia kama limbwata halikamatiki kwako basi wanakudedisha.Lakini tofauti na hayo Wanyamwezi ni miongoni mwa makabila yanayojua mapenzi hapa Tanzania, mimi nashangaa watu wanasifia eti Tanga kwangu mimi mwanamke wa Kinyamwezi ni nambari one kwa mapenzi sema sasa issue ni hayo matatizo yake ya hapo juu maana mwanamume hakohoi kwa mke wa Kinyamwezi
 
kwa hiyo wote wanatumia ndumba

Mimi situmii wala siijui, wala mama wala shangazi hawajawahi hata kugusia kuhusu ndumba.

Huyo Mnyamwezi wa wapi? Some of us uvumilivu wa kijinga hatuna; kuna kadharau fulani ka kitusi hasa kwa wanyamwezi wa Sikonge. So ili kumaintain heshima lazima
uweze kuprovide kwa familia na uwe na msimamo. Ukiwa mkarimu, is a bonus; utafurahia maisha yako ya ndoa; but make sure ndugu hawajazani kwako.
 
Haya
1. Wavivu.
2. Wanapenda mapenzi.
3. Washirikina ( limbwata linakuhusu ).
4. Mabishoo yani ma sister doo.

ila yote haya jalisha kwamba mupenzio anatabia hizo
5. Sio wavumilivu.

Usiwe mmbaguzi wewe , ukiwa unaangalia makabila huto pata jiko
nina mahusiano na mwanamke wa kinyamwezi
ninaomba mwenye uelewa anipe tabia zao wakoje kabla sijaingia kwenye kitanzi cha ndoa
 
Kama mzigo kweli nimeubeba mkubwa na mrefu tu Mtoto wa Kinyamwezi mie. Au ulimaanisha mzigo gani vile?
wanasifika kwa kubeba mizigo mizito (mizigo gani sijui) hiyo sifa mi nimeisikia tuu, wanaadabu ya nje na ndani namaanisha ya kupiga goti asili na si ile ya nidhamu ya woga. Mengine wacha wengine waje watiririke.
Pia wataalam wa kuunga mboga kwa karanga so ukioa huyo jiandae kula mboga za karanga.
 
Hamna ndumba bana, weee vipi?

Hujasikia wimbo wa Kinyamwezi kwenye maharusi yetu maana huwa tunaimba ".....nalitumila ndumba ya kumlomo....."
Kaunga dada yangu atakuwa shahidi kuwa maana yake ni "....ninatumia ndumba ya mdomoni......"

Wanyamwezi tuna maneno matamu na nyororo................ "..... hihihiiiii, ndiyo Padili....."
Kwa ndumba ndo wenyewe!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Umenikumbusha, story niliyopewa na bibi yangu ya nyama ya ulimi!
Maneno matamu, chakula kitamu, mchezo mtamu ndio ndumba za wanyamwezi!
Hamna ndumba bana, weee vipi?

Hujasikia wimbo wa Kinyamwezi kwenye maharusi yetu maana huwa tunaimba ".....nalitumila ndumba ya kumlomo....."
Kaunga dada yangu atakuwa shahidi kuwa maana yake ni "....ninatumia ndumba ya mdomoni......"

Wanyamwezi tuna maneno matamu na nyororo................ "..... hihihiiiii, ndiyo Padili....."
 
Last edited by a moderator:
Ukitaka kumpiga busu hutumii stuli.Uzuri sio wachoyo ukiita unajimegea tu kwa raha zako.Mashati suruali lazima akununulie ndo zao
 
Back
Top Bottom