VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,160
Nahitaji kununua gari, nimepata option katika list yao. Hofu yangu mfumo wao, wao ni kama madalali wapo kati ya muuzaji na mnunuzi, nipo hatua 1. nimetoa offer yangu nasubiri muhusika anijibu via email.
Jamani pesa ngumu najua JF kuna wabobezi nyanja zote,are this dealer real honest!?
Jamani pesa ngumu najua JF kuna wabobezi nyanja zote,are this dealer real honest!?