Anaewaelewa wanawake anisaidie

Uache umbea kuongelea mambo ya watu
Umedandia gari kwa wapi wewe??? sijaongea mambo ya watu bali nimesema uhalisia kwa rafiki yangu juu ya jambo linalonihusu ..rafiki kapeleka zima zima kwa mke wa mtu na kuleta kizaa zaa usiku huu
 
Jamani naongea haya kwa masikitiko na huzuni kubwa sana hapa. Sina pozi kabisa mwenzenu natafakari bila kupata majibu juu ya sisi wanawake
Kuna sehemu unaeza kuta wanaume wawili watatu wamekaa wao kwa wao wakiongea yao yakiume sijui ya mademu sijui michepuko sijui yule anaringa mara hana lolote nanyinginezo.
Vivohivo kwa wanawake . Wanapokaa wanawake wawili watatu unategemea wataongea story gani kwa mfano???

Hivi unapoambiwa kitu juu ya mtu/ watu fulani ukikaa nacho unawashwa??? Huyooo patupatupatu unapokipeleka moja kwa moja kwa muhusika / ndugu au jamaa yake wa karibu sana unatarajia nini?!!
Hapa kwetu nusura pageuke Uwanja wa kungfu Leo mimi nilijihami nikajifungia zangu ndani tu baada ya kuona hali ya hewa imeharibika make hata kupigana siwezi.
Najuuuuuuuuuuuta kwakweli. Kuanzia sasa nikiwa sina ishu nibora nije kukesha jf kwenye siasa tu sitakosa la kuongea juu ya Bashite stori ya mujini. kuliko kukaa na Ndumila kuwili.
Nimekoma yani kiranga komooo hapa.
Kidogo udundwe pole sana mahondaw
 
Kwa sababu ni mtu wake kujishtukia lazima... Hata wewe my dear unapohisi mtu wako ana dalili za kunyemelea/kunyemelewa na mtu mwingine kama una mpenda kweli u will react...


Mfano hao unao hata sasa... Whats going on...
Na ndo maana natafakari hapa sipati majibu
Kwanini amwambie ilhali anajua kabisa ni mkewe???
Sawa wanawake tuna maneno lakini mida mingine tunafikiria tunapokalia ndomana yanakua haya laiti kama angetumia akili huyu asingemwambia
 
Na ndo maana natafakari hapa sipati majibu
Kwanini amwambie ilhali anajua kabisa ni mkewe???
Sawa wanawake tuna maneno lakini mida mingine tunafikiria tunapokalia ndomana yanakua haya laiti kama angetumia akili huyu asingemwambia
Wanawake mmeumbwa hivyo tu... Umbea wa kupeleka maneno huku na huko... Unatakiwa uwe makini sana with whom you are telling your things...

Or else kila mara utaonekana vinginevyo... Mimi nakulewea sana Super dear...

Pole sana...
 
Back
Top Bottom