Usisahau kutupa mrejesho. Asante.Wadau nahitaji samsung galaxy note 5 au s6 edge iliyo tumika iisiyo na tatizo lolote bajeti yangu ni 200000
Napatikana dar kwa mawasiliano zaidi njoo pm
Anzia kwanza dukani ujue bei ya hizo cm,utalipata jibu la used.Wadau nahitaji samsung galaxy note 5 au s6 edge iliyo tumika iisiyo na tatizo lolote bajeti yangu ni 200000
Napatikana dar kwa mawasiliano zaidi njoo pm
Kwa wewe binafsi hujawahi kununua kitu kwa be nafuui tofauti na bei halisi? Acha kukariri mkuu ingekuwa hivyo vitu used visinge kuwepo.Kuwa Makini unaitafuta kesi ya Kuvunja na Kuiba au Kesi Ya Kichwa,Cheap is Expensive Mkuu hizo simu tajwa ukipata kwa bei hiyo inabidi ujiulize sana.
Jifariji famba wewe Note 5 kwa 200000 hata j 7 Mtu hakupi unataka vizuri halafu huna pesa kwanini watu wasikushikishe kesi endelea jifanye mjuvi.Kwa wewe binafsi hujawahi kununua kitu kwa be nafuui tofauti na bei halisi? Acha kukariri mkuu ingekuwa hivyo vitu used visinge kuwepo.
Jitambue nataka unishikishe ww hiyo kesiJifariji famba wewe Note 5 kwa 200000 hata j 7 Mtu hakupi unataka vizuri halafu huna pesa kwanini watu wasikushikishe kesi endelea jifanye mjuvi.