Anadai bado ananipenda

Anadai bado ananipenda

Jamaa Hana Tatzo, N Kawaida Kwenda Na Kurud Ktk Mapenz,

Kawaida? lakini mtu ameshakuwa na ndoa ya mtu mwengine, huyo anataka kuvunja ndoa tu. Kengine usifanye hisia zikatawa akili, huyu jamaa ulipomuhitaji alipandisha vioo sasa iweje....ameona anafaa.

Kama alikuwa hana hela enzi hizo ina maana dunia hii masikini hawazai.......
 
Mwanamke wa miaka 28...

Aliyeolewa....

Mwenye nyumba yake.....

Mtu mzima....

Hili nalo linamsumbua????


Dear friends nimelea mdogo wangu wakike mpaka kaolewa sasa umri 28.akiwa na miaka 21 alibeba mimba ya mvulana ambae alipomwambia alijibu hana lakufanya nahiyo mimba wote walikua wanatakiwakujiunga na chuo kikuu.alijaribu kujiua tukamuokoa nilipomhoji akaniambia anaona aibu anamimba.nilimwambie usijiue ntalea mtoto wako .baada ya miez kama minne aliumwa mimba ikatoka.nilimsomesha chuo akapata kazi sasa kaolewa na mtu mzuri tu na heshima zake.Juzi yule bwana wakwanza karudi anamwambia ameshapata hela anamtaka warudiane,tunamwambia kaolewa haelewi hasikii mimi sijui chakifanya nishaurini jaman

anyway....

Mwambieni mchuma majanga hula na wakwao!!!
 
Tatizo la kumsomesha ndugu wakati wewe hujasoma ndio maana ishu ndogo kama hyo inakushinda.
 
ni yeye tu anavunga........

unajua kuna jamaa alibadili mwaka wa kuzaliwa 1981 ukawa 1984 kwenye vyet vyake vyoote adi cha kuzaliwa, kasheshe walipotaka cha ubatizo wakakuta mwaka ni 1981 na sio 84 sa ndo huyu ndugu.
 
Jibu lipo wazi wala huna haja ya kufikiria mara mbili. Kikubwa umeolewa na mumeo ana heshima zake sasa unatafuta nini tena. Huyu kijana anataka kukuharibia anajua umeolewa anakufwatia nini wakati alikukataa.
 
mdada hiyo ndoa unaitaka ama hauitaki......? unamruhusu vipi mtu kama huyo kurudi tena maisha yako........
 
kweli server ipo bize, sasa hapo unataka ushauri gani? mbona watu tuna majanga yetu tunasolve kimya kimya tu? kila kitu ushauri yani bora mods wafungue jukwaa maalumu la ushauri humu yabaki mapenzi tu.
 
Ni vigumu kulificha pendo la kweli kwani tuwapendao kwa dhati siku zote wanaishi ndani mioyo yetu haijalishi kwa muda gani..........
 
Sasa mtu kashaolewa na mimba yake aloikataa ilishaharibika., sasa anafata nn. Mtoeni baru asisumbue watu., mkimdekeza mtaona ujinga wake atakaowafanyia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom