Dear friends,
Nimelea mdogo wangu wa kike mpaka kaolewa sasa umri 28.Akiwa na miaka 21 alibeba mimba ya mvulana ambae alipomwambia alijibu hana la kufanya na hiyo mimba, wote walikuwa wanatakiwa kujiunga na chuo kikuu.Alijaribu kujiua tukamuokoa nilipomhoji akaniambia anaona aibu ana mimba.
Nilimwambia usijiue nitalea mtoto wako .Baada ya miezi kama minne aliumwa mimba ikatoka.Nilimsomesha chuo akapata kazi sasa kaolewa na mtu mzuri tu na heshima zake.
Juzi yule bwana wa kwanza karudi anamwambia ameshapata hela anamtaka warudiane,tukamwambia kaolewa haelewi hasikii, mimi sijui cha kufanya.
Nishaurini jamani.
Nimelea mdogo wangu wa kike mpaka kaolewa sasa umri 28.Akiwa na miaka 21 alibeba mimba ya mvulana ambae alipomwambia alijibu hana la kufanya na hiyo mimba, wote walikuwa wanatakiwa kujiunga na chuo kikuu.Alijaribu kujiua tukamuokoa nilipomhoji akaniambia anaona aibu ana mimba.
Nilimwambia usijiue nitalea mtoto wako .Baada ya miezi kama minne aliumwa mimba ikatoka.Nilimsomesha chuo akapata kazi sasa kaolewa na mtu mzuri tu na heshima zake.
Juzi yule bwana wa kwanza karudi anamwambia ameshapata hela anamtaka warudiane,tukamwambia kaolewa haelewi hasikii, mimi sijui cha kufanya.
Nishaurini jamani.