Anadai anachoka kunipa kila siku

Anadai anachoka kunipa kila siku

Nina mwezi now myb wife anazingua kisa mimba sina namna zaidi ya kuwa na michepuko mitatu ya uhakika japo uchumi ni shida pia
 
Hongera sana kwa hicho kifurushi cha halichachi bila shaka unatoka nje ya dar.
Lakini uwe unampumzisha utamzeesha mkeo
 
Hapo ukichepuka ataanza kuzira.
Inaonekana kuna incompatibility issue kati yenu. Wewe una high drives mwenzio ana low na kashaanza kuichoka hio hali.
Suluhisho, tafta demu mwenye mizuka kama yako ukimpata acha kumtesa huyo ulie nae.
 
Siku zingine uwe unat*mb@ kwenye mateetee! Kwani lazima kila siku uingize huko huko? Wewe ndio utakuwa unataka hata zile siku za mwezini... Poor you, unamfuja binti wa watu!
 
Nimeanza kuchanganyikiwa maana bila kunipa kila siku mimi naumia, analalamika kila siku, leo kaenda kwa dokta akamuuliza dokta kamwambia hakuna madhara kisayansi ila yeye anadai anachoka, mpaka ananiambia nifanye mastabeshen. Jamani, huyu mtu vipi?
Amekuwa ngoma? Mwache apumzike na wengine pia
 
muonee huruma mwenzio kila siku amekuwa kuku mapenzi ni starehe jamaan sio kukomoana mwache tu agome
 
Dah mkuu unaniangusha sana,jaribu hata kurusha siku moja moja basi hili mchezo uwe mtamu zaidi.
 
Nimeanza kuchanganyikiwa maana bila kunipa kila siku mimi naumia, analalamika kila siku, leo kaenda kwa dokta akamuuliza dokta kamwambia hakuna madhara kisayansi ila yeye anadai anachoka, mpaka ananiambia nifanye mastabeshen. Jamani, huyu mtu vipi?
ded52f5dfc972989738f89042ee6fb78.jpg

Mtoa mada hao wazungu wako unaotaka kuwatoa kila siku uwe una kompaset aisseh na misosi matunda kwa wingi
 
kila siku noma mkuu...tafuta vitu vingine vya kukukeep busy...kila siku itapoteza flava
 
Mwache mwenzako apumzike aiseee, hayo siyo mashindano..

Si kila siku 'dude liamshwe'.
 
Back
Top Bottom