Tunataka Mapenzi lakini sio kila siku sexNdio hapo ugumu wa kuwaelewa wanawake wanataka nini?
Tabia mbaya kuchunguliaHivi ni kweli kuna kipindi zikishughulikiwa ipasavyo zinafikia hatua ya kuwaka kama moto. ..?? Maana kuna mama mmoja akimaliza tendo na mmewe huwa namwona anachukua feni kisha anaielekeza huko kujipepea bila aibu. ...hizi nyumba za kupanga zina visa na hasa kwetu wapiga chabo.
Unaumia wap???Nimeanza kuchanganyikiwa maana bila kunipa kila siku mimi naumia, analalamika kila siku, leo kaenda kwa dokta akamuuliza dokta kamwambia hakuna madhara kisayansi ila yeye anadai anachoka, mpaka ananiambia nifanye mastabeshen. Jamani, huyu mtu vipi?
Nipo bizy,nna ninafnya kazi,nmeamua kusoma na mambo mengne lkn hpo bado nataka dailykila siku noma mkuu...tafuta vitu vingine vya kukukeep busy...kila siku itapoteza flava
Huwa napiga asubuh na usku na week end mara tatu na anafika kabla yangu mkuuSioni tatizo lakutaka kila siku,hiyo ndiyo inatakiwa kwa mtu mwenye afya.
Ushauri: piga kila siku kwa alternation,siku moja asubuhi na nyingine unapiga mkienda kulala.
Kumbuka; hakikisha na yeye anafika.
Hata 'jaza ujazwe' haupatii!?😀😀Ila kupewa kila siku ni raha balaa,issue ni pale anapokuwa P daa hupati Mzigo