Anadai anachoka kunipa kila siku

Anadai anachoka kunipa kila siku

Jaman utakua na pepo, kila siku kaka unataka. Humpumzishi mwenzio??
Aaah sio poa bwana at least kwa week mala 3 hadi 4. Ndo inaleta radha
 
Mkuu kwa maelezo yako ka sijakosea inaonekana ...kila dail lazima ule papuchi....?? Hahaha kazi kweli kweli. We lirukishe tu masta be coz hakuna nmna...
chama kimejaaa atafute kitengo kingine

imefika!!!
 
Mkuu hao viumbe huwa hawachoki anaekiti tu wewe endelea kula mzigo tena ongeza spidi ili asitamani wa nje.
 
Jamaa yangu mmoja ni noma, ameanza kuchanganyikiwa maana bila mkewe kumpa kila siku anadai anaumia, analalamika, kaniuliza iama ina madhara kiafya nikamwambia hakuna madhara kisayansi ila sasa mke, anadai anachoka, mpaka anaamua afanye mastabeshen. Jamaa anauliza, huyu mtu vipi?
Ni kweli anaweza akawa anachoka Kama binadamu Ila unaweza pia Anza kusoma Novels usiku hasa za biashara au za hadithi nzuri usingizi ukakupitia Au kwa pamoja mnunue karata za kucheza Kama last card ili kujikeep busy au Kama mnapoishi Kuna kauwanja au nafasi Mnatoka usiku mnakimbizana kimbizana mkirudi hoi mnaenda kuoga mnalala..
Mana Kuna watu hapa wanaweza kukupotosha kwamba tafuta mchepuko kweli michepuko ya kila Aina ipo Tena yenye manjonjo.But swali la kujiuliza je hiyo michepuko haina watu wengine?je umewahi kuwaza afya yako na ukija patikana watoto wako wataishi vipi ukiondoka leo Duniani?
Kwa hiyo Kuna wakati ifike mtu utulie Mana Papuchi zipo na haziishi Ni Bora mfundishane tu na uliyenaye Mana Kuna wakati mtu aunaokota embe kwenye mchongoma unalitupa baadaye unaweza usilipate Tena.. pia mnaweza mkawa mnapitisha hata siku 2
Na pia Hali hiyo sio wewe pengine unatumia vinywaji Aina ya Whiski Kama Konyagi hivyo unakuwa na nguvu nyingi ambazo sio zako ..
Kupumzika kidogo Ni nzuri kwa afya ya kwenu wote.
Zingatia mazoezi pia ili uwe busy.Na kusoma vitabu.Itasaidia Kama kweli unataka kubadilika.
 
Back
Top Bottom