Anadai anachoka kunipa kila siku

Anadai anachoka kunipa kila siku

balibabambonahi

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2015
Posts
16,513
Reaction score
15,152
Jamaa yangu mmoja ni noma, ameanza kuchanganyikiwa maana bila mkewe kumpa kila siku anadai anaumia, analalamika, kaniuliza iama ina madhara kiafya nikamwambia hakuna madhara kisayansi ila sasa mke, anadai anachoka, mpaka anaamua afanye mastabeshen. Jamaa anauliza, huyu mtu vipi?
 
hapo mchepuko unahusu sana, sijui atajuta akijua au atafurahi kupata msaidizi wake
 
Nimeanza kuchanganyikiwa maana bila kunipa kila siku mm naumia,analalamikabkila siku,leo kaenda kwa dokta akamuuliza dokta kamwambia hakuna madhara kisayansi ila yeye anadai anachoka,mpaka ananiambia nifanye mastabenshen .Jamani ,huyu mtu vipi?


Na wewe bwana, hebu jiangalie hiyo sura kwanza....hata kama wewe ni mwanamke ungejisikiaje kumpa mumeo kila siku kwa sura kama hiyo yako?
 
Nimeanza kuchanganyikiwa maana bila kunipa kila siku mm naumia,analalamikabkila siku,leo kaenda kwa dokta akamuuliza dokta kamwambia hakuna madhara kisayansi ila yeye anadai anachoka,mpaka ananiambia nifanye mastabenshen .Jamani ,huyu mtu vipi?
Anachokaje huyo, Inaonekana wewe si fundi kabisa.
 
hahahahahahahahahahahaha kweli watu wanavisa hum duniani jamaa kunywa beer yoyote utakuwa unachoka na wewe ila kama unakula WHISKY unaweza pambana mwaka mzima
 
Back
Top Bottom