Anacho nifurahisha dada huyu

Anacho nifurahisha dada huyu

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
77,972
Reaction score
165,436
Anaongea sana hisia zake, anapenda sana atongozwe, anapenda watu wa m pm yaani nahisi kama ni muoga sana wa upweke, hataki midume iche mbali na uwepo wake, huku ndiye nazjaz bwana.nakufagilia sista naz jaz
 
Anaongea sana hisia zake, anapenda sana atongozwe, anapenda watu wa m pm yaani nahisi kama ni muoga sana wa upweke, hataki midume iche mbali na uwepo wake, huku ndiye nazjaz bwana.nakufagilia sista naz jaz
Juzi ndio ukafanyaje sasa
 
Anaongea sana hisia zake, anapenda sana atongozwe, anapenda watu wa m pm yaani nahisi kama ni muoga sana wa upweke, hataki midume iche mbali na uwepo wake, huku ndiye nazjaz bwana.nakufagilia sista naz jaz

isije kuwa Naz Jaz,
ni mmojawapo kati ya wale maliberal (kama kaizer anavowaita)!!!!!!
 
Jamani ya kweli haya NaZjaz? mbona hivyo mwanakwetu
 
Nazjaz unalo hilo

Dena Amsi, wewe mchokozi unajua kwenye tenzi mashairi na hata riwaya watu huwa wanaongea kimafumbo zaidi ila wewe umeamua kupasua jibu. Anyway nitarudi ngoja niPM Nazjaz maana nilikuwa sijawahi kuPM kwani mie nina kasoro gani jamani????
 
Anaongea sana hisia zake, anapenda sana atongozwe, anapenda watu wa m pm yaani nahisi kama ni muoga sana wa upweke, hataki midume iche mbali na uwepo wake, huku ndiye nazjaz bwana.nakufagilia sista naz jaz

Bujibuji in da hausi...................
 
Dena Amsi, wewe mchokozi unajua kwenye tenzi mashairi na hata riwaya watu huwa wanaongea kimafumbo zaidi ila wewe umeamua kupasua jibu. Anyway nitarudi ngoja niPM Nazjaz maana nilikuwa sijawahi kuPM kwani mie nina kasoro gani jamani????

We unajua navyokumiss lakini???
 
kimbe kuna ka thread kananihusu huku , sikujua
 
Basi, kwa hilo asihofu. Natajitengenezea ukaribu kwake.
 
Jamani eeeeeeeeeh?mi mgeni lkn imenishangaza, unamdhalilisha, C MMALIZZANE KIMYAKIMYA TUUU?USIUTANGAZE UDHAIFU WA MWENZIO HADHARANI.
 
....una bahati sana.Nikajua unamsema HUSNINYO,ningekuomba ukanushe usemi wa hayo mandishi yako hapahapa.inaonekana umefanya uchunguzi wa kina.hongera sana kwani umenisaidia kupata style mpya ya kuwapata hawa viumbe wa Mungu....
 
....una bahati sana.Nikajua unamsema HUSNINYO,ningekuomba ukanushe usemi wa hayo mandishi yako hapahapa.inaonekana umefanya uchunguzi wa kina.hongera sana kwani umenisaidia kupata style mpya ya kuwapata hawa viumbe wa Mungu....

haya bwana
 
Anaongea sana hisia zake, anapenda sana atongozwe, anapenda watu wa m pm yaani nahisi kama ni muoga sana wa upweke, hataki midume iche mbali na uwepo wake, huku ndiye nazjaz bwana.nakufagilia sista naz jaz

ngoja nianze...:evil:
 
Back
Top Bottom