Kama wewe ni wakumaliza round ya kwanza, dawa ni moja tu: MAZOEZI. I mean mazoezi ya mwili wako wote. Fanya sit-ups na jogging za umbali wa wastani kila baada ya siku mbili. Lakini dawa hii HAIFANYI KAZI ENDAPO HUJAVUTIWA SEXUALLY NA DEMU WAKO.
Kama wewe ni kumaliza round ya 12 unatakiwa ujuwe kwamba unamuumiza mwenzako, kwa hiyo njia mbadala za kukufanya umalize wakati muafaka zinahitajika. Including kumshirikisha demu wako katika "kujichua hadi kieleweke " au mpenzi wako afanye "mike check 1,2,3" au "siku ya gulio katerero" au funga main "entrance" na badala yake utumie main "exit", nk. Ukishindwa hiyo tia timu kwa sangoma ili ukafanyiwe ukandarasi.
All in all, afya yako na mapenzi uliyonayo kwa demu ndio yatakayo determine muda wakumaliza. Wanaume wengine wasipovutiwa sana na demu wanamaliza haraka, wengine kinyume chake.