Ana Sifa Zote.....kasoro ...Sex!

Ana Sifa Zote.....kasoro ...Sex!

aisee yaani unajua atakaesoma na kukupa wazo lolot lazima amechanganyikiwa
kivipi nikisoma juu mpaka chini naona wewe ni mhuni alafu player kiswahili unajua
yaani ufundishiki usaidiki mtu mwenye kuweza kufanya mapenzi na mtu alafu akaweka hisia za mwingine hata usiku achelewi kuweka hisia anamegwa ..sorry kwa hili ila wazo lako sijajua nikusaidiaje

Hahahahahahaaaaaaa.......... Ngoja niendelee kucheka
 
Huyu atakuwa mtu wa kutumia mtandao wa rahisi.
 
Maumbile si tatizo kwani kajiumba yeye? hivi ukipata mpenzi wa kichina halafu ukamwambia abadili rangi utakuwa na akili kweli...angekuja yeye hapa kukushtakia kwamba hujui "umbo" maumbile na "shape" ni nini
 
huyo ndio mzuri atakuwa hatoki nje ya ndoa weka ndani kabisa. Kama unataka balaa tafuta aliyekubuhu kwenye sex utakuwa unagongewa kila siku
 
Dada ni mzuri sana wa sura na shape sio mbaya sana. Ana tambia nzuri. Kwa kweli nikimtazama najua atanizalia watoto wazuri sana. Amesoma na ni graduate. Kabahatika kupata kazi nzuri na kwa ujumla ana future nzuri, inshallah, kimaisha. Ananipenda sana na kwa ujumla nami nampenda. Ningependa awe wangu wa milele, ila tu kwa hili: Ni wa baridi mno tuwapo maeneo. Na sio kuwa hajishughulishi, la hasha. Anajitahidi kutoa penzi zuri na anafundishika. Tatizo tu ni maumbile yake. Hayana mvuto. Kutafuta mzunguko wa zaidi ya mara moja inakuwa kazi kweli, mpaka hata inabidi uanze kujivisha sura na feelings za mtu mwingine ili uweze kugoneka mpaka kumaliza mzunguko wa pili nk. Nafahamu kuwa huwezi kupata mwenza aliyetimia 100%. Je niamue tu kuwa huyu atanifaa sana kama mke, mama wa wanangu tukijaliwa inshallah na msaidizi muhimu sana kiuchumi maishani. Kwamba nijitoe muhanga kuwa sitapata penzi nililowahi kulipata kwingineko? Je sex ni muhimu kiasi gani katika maisha ya ndoa? Kwa wenye ufahamu naomba mnijuze. Asante.

Umesema ana sifa zote halafu tena kasoro za nini? Hizo sifa zote ni zipi sasa? kwa maelezo yako ni kwamba hana sifa ambazo ulishaziona kwa wengine, itakusumbua hiyo.
 
Hapo kwenye RED ebu fafanuwa amesoma mpaka level gani, binafsi mimi ni form 4 Graduate, kumbuka hata darasa la saba wanagraduate.
425932_2366906390333_1780640867_1481860_1926267249_n.jpg

Graduate! Ana degree, ndo maana ukimaliza form four huwezi kujiita graduate bali lazima useme form four graduate. Ila ukiona graduate ujue maelimu hayo.
 
Eh mengine ehe mengine kinehe.

Katafute huyo hot mama uletewe watoto wa kupima dna. Badala ya kupanga maisha unawaza hayo tu
 
hujampenda huyo dada, bora umuache uende kwa huyo unayemwaza wakati mki-doo

hili si kweli. nampenda sana tu. kwani ukimpenda mtu huoni dosari yake hata kidogo? sidhani kama ni kweli. ndio maana wanasema ukipenda chongo utaona kengeza. ila kwenye kwa sasa navumilia kwani nahisi ngoni sio kila kitu kwneye ndoa. ila shaka ni kuwa, je hilo ni la kweli au ndo na mimi naita kengeza chongo ya waziwazi? kwamba katika maisha naweza ishi na mke ambaye haniridhishi kingono na maisha yakaendelea kama kawaida. isije ikaja kuwa ni sababu ya kutoka nje ya ndoa badae.
 
Unadai kwamba


Lakini hapo hapo unalalama


Ina maana hayo maumbile unayodai hayana mvuto sio sehemu ya shape yake ambayo unadai sio mbaya sana? Au kuna tofauti kati ya "shape" na "maumbile"?

kasema huyo dada ni wa baridi mmo.yani hana joto kunako something.
 
Umesema ana sifa zote halafu tena kasoro za nini? Hizo sifa zote ni zipi sasa? kwa maelezo yako ni kwamba hana sifa ambazo ulishaziona kwa wengine, itakusumbua hiyo.

nadhani niko wazi kwenye hili. ana sifa zote kasoro kitu hicho pekee. je unaweza kuishi na mke huku ukijua kuwa itakapokuja tendo la ndoa wewe utaachwa hujaridhika na si kwa sababu zake binafsi bali kwa 'maumbile' yake yalivyo?
 
sugua k hiyo mpaka iwake moto; joto litakuwa generated automatically...
 
hili si kweli. nampenda sana tu. kwani ukimpenda mtu huoni dosari yake hata kidogo? sidhani kama ni kweli. ndio maana wanasema ukipenda chongo utaona kengeza. ila kwenye kwa sasa navumilia kwani nahisi ngoni sio kila kitu kwneye ndoa. ila shaka ni kuwa, je hilo ni la kweli au ndo na mimi naita kengeza chongo ya waziwazi? kwamba katika maisha naweza ishi na mke ambaye haniridhishi kingono na maisha yakaendelea kama kawaida. isije ikaja kuwa ni sababu ya kutoka nje ya ndoa badae.

kaka mbona unashauriwa huelewiii?? umeulizwa ww ilo swala la ngono umelipa kipaumbele kwa kiasi gan?? from there fanya uamuzi kama utaweza kuishi nae au lah! io kitu ni personal yan ww unalichukuliaje ilo swala ktk mahusiano na maisha yako kwa ujumla??
natumai ss umeelewa loh!
 
Utahangaika na mabucha nyama ni ile ile, we umempenda kwa muonekano wake , basi ridhika. ni nadra sana kumpata mtu akawa amekamilika ndani na nje, kasoro ndio maumbile yetu broooo. hata wewe hujakamilika hapo ulipo.
 
Inaonyesha umeshapita sehemu nyingi mpaka umeona kuwa huyu yupo tofauti. Ila ujue katika ndoa sio sex pekee, kuna mambo mengi zaidi yanayotakiwa kufanyika ya kiuchumi, kijamii na kadhalika. Kwa vile umekiri kuwa anafundishika nakushauri umfundishe pia kuandaana vyema.

Huyo ni wife material.
 
Back
Top Bottom