Mzee Msuya - sio mimi nasema - Mzee Msuya mtu wao wa system kabla hajafa alisema watu wa CCM ni wadhaifu sana kwenye kujenga hoja.
Bunge linasema:
Mtu mwenyewe ana shida jimboni
Afukuzwe CCM
Aliahidi safari Kawe-Japan
Kataja jina takatifu la mtoto wa Rais
Angeweza kuyamaliza kwa ushauri wa simu...
Hakusema wakti wa risasi za Lissu
Kuna kitu anatafuta
Bado hoja iko pale pale:
Angetekwa Abduli Suluhu Hassan ungejisikiaje ??????
View: https://www.facebook.com/share/v/1YhRCGY3k9/
Bunge linasema:
Mtu mwenyewe ana shida jimboni
Afukuzwe CCM
Aliahidi safari Kawe-Japan
Kataja jina takatifu la mtoto wa Rais
Angeweza kuyamaliza kwa ushauri wa simu...
Hakusema wakti wa risasi za Lissu
Kuna kitu anatafuta
Bado hoja iko pale pale:
Angetekwa Abduli Suluhu Hassan ungejisikiaje ??????
View: https://www.facebook.com/share/v/1YhRCGY3k9/