Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,726
- 19,874
- Thread starter
- #201
Umri wangu sio wa kusema sitaki mbunye tena nikiwa na nyege nakuwa na hasira Sana tunalumbana kijinga hivyo ikanibidi nitafute kipozeo na mimi huwa napenda kuwa na mchepuko mmoja nakuwa najitahidi kuhudumia nilimtoa kwenye chumba na sebule nikampangishia nyumba mzima ya vyumba vitatu yenye fensi ili nikizama na gari watu wasinichore yeye katafsiri akinizalia naweza mnunulia hata bombardier 2 hapa ndo naona kosa langu na hajui ndo anaenda kunikosa jumlaKwa kiasi fulani umeanza kujustify hiyo mess yako,
1.Mkeo ni wale wasomi wanaopenda kazi kuliko ndoa
2.Mnakaa mikoa tofauti
Hivyo nadhani anza na kushughulikia hayo mawili kwanza kabla hujakumbana na ngoma