Ana maji mengi sana, afanyeje yapungue?

Ana maji mengi sana, afanyeje yapungue?

Ni Muhaya??? Mchaga ???


Waivo wazur sana
Umofia kwenu wakuu, naomba mumsaidie mwanamke wangu ana maji mengi hadi anakosa confidence ya kuduu.

Mimi mwenyewe yananikera lakini basi tu ninampenda sana siwezi kumwacha.

Afanye nini maji yapungue?hata yeye haiendi hali hiyo,yaani mkidoo godolo lazima lilowe,msaada tafadhali.
Wa hivyo ndo wazur mkuu hata ukimwi hupat kama anao
 
Nimesoma mada na comment nimejifunza kitu kua unaweza kichukia kitu alafu ujakijua kumbe ndo kinachoitajika mtaani hakika kama jamaa alikua anatafuta watu wampe maneno ya kumpiga chini mwanamke badala yake comment nyingi zimemfanya azidi kumpenda na wivu utaongezeka mno
Hii ndo jf bhana
 
Anzisha mradi wa drip irrigation,au mshauri asiwe ananyoa nywele za chini itasaidia kuingia shimoni na unapo mduu hutekenya kichwa cha dushee na kumwaga tui la nazi mara nyingi sana,
 
Mnaosema ni watatu hamjakutana na hiyo kitu. Ni watamu kama unakua naye mara moja moja. Lakini kwa kila siku ana boa sana. Imagine kila mki du lazima godolo lilowe...maisha gani hayo.

Halafu kuna wale wanao toa maji wakifanyiwa style fulani. Ila kuna wale ukiingiza tu maji yaanaanza kutoka. Sasa hiyo ni shida sana.
Ukikubaliana na hiyo hali unajua jinsi kudili nae,
Zamani nilikua nae wa hivyo nikawa nakereka hadi nkampotezea, na yeye akaniambia kabisa simtaki sababu ya hiyo hali,
Baada ya miaka kadhaa ya uzoefu nkajisemea ngoja nimcheki tukaongea akanielewa japo alidai bado yupo vilevile japo ameshazaa,
Siku ya tukio nilikomaanae hadi nkayakausha,
Ile unaburuza ivoivo kwa mda usiopungua dk 45 bila kupumzika bila ndom
 
Ukikubaliana na hiyo hali unajua jinsi kudili nae,
Zamani nilikua nae wa hivyo nikawa nakereka hadi nkampotezea, na yeye akaniambia kabisa simtaki sababu ya hiyo hali,
Baada ya miaka kadhaa ya uzoefu nkajisemea ngoja nimcheki tukaongea akanielewa japo alidai bado yupo vilevile japo ameshazaa,
Siku ya tukio nilikomaanae hadi nkayakausha,
Ile unaburuza ivoivo kwa mda usiopungua dk 45 bila kupumzika bila ndom
Kwa hiyo ukiburuza dk 45 unakausha kisima??
 
Kuna dawa moja ya kiarabu inaitwa shabu kanunue ni kama jiwe jeupe aliingize Ndani litakausha
Shibu inakausha au Inanyonya Maji Taka
 
Back
Top Bottom