Ana maji mengi sana, afanyeje yapungue?

Ana maji mengi sana, afanyeje yapungue?

Apunguze kula aina hizi za vyakula.
Ndizi,tembele,parachichi,,karang,maziwa,,bania,,na vingne vyenye mafuta ya asili(natural oil)
 
Watu wanalia hali ngumu ya maisha wewe waifu ana maji mengi tu. PANDENI MCHICHA
 
Ni mazuri kwa wale wasiopenda kutumia condom, Akiwa mkavu ni rahisi kuchubuana.
 
Magufulu achana na kukata miti kwenye huo mradi wa Stigla Goji,
Kuna bwaha huku la kutupatia Megawati 50,000.

Tuuze umeme mpaka kwa Trump
 
  • Thanks
Reactions: amu
Umofia kwenu wakuu, naomba mumsaidie mwanamke wangu ana maji mengi hadi anakosa confidence ya kuduu.

Mimi mwenyewe yananikera lakini basi tu ninampenda sana siwezi kumwacha.

Afanye nini maji yapungue?hata yeye haiendi hali hiyo,yaani mkidoo godolo lazima lilowe,msaada tafadhali.
Nipe tenda ya kukuuzia masponji,
Kwakua ni biashara endelevu nitakufanyia bei rahisi tu.
Utakua unalipa kwa bili.
 
Umofia kwenu wakuu, naomba mumsaidie mwanamke wangu ana maji mengi hadi anakosa confidence ya kuduu.

Mimi mwenyewe yananikera lakini basi tu ninampenda sana siwezi kumwacha.

Afanye nini maji yapungue?hata yeye haiendi hali hiyo,yaani mkidoo godolo lazima lilowe,msaada tafadhali.
Kaka pole sana na tatzo hlo. Mimi pia mke wangu alikua na tatzo hlo tulitafuta dawa sana kwa Hospital mbali mbali na mpaka kwenye Maombi lakn hatukupata Dawa yoyote. Mwsho wa siku kuna jamaa yng alikuja kunipa dawa moja Simple sana mkuu inauzwa mia tano tu kwa kilo kwenye hard ware. Unajua siku zote Cement huwa na tabia kunyonya maji kwa kiwango kikubwa...? Jibu ni ndio
Kwahyo anatakiwa awe anaweka Cement kwenye Papuch kias cha kijiko kimoja cha chakula Asubuh na jiona kwa week nzima. Nnatumain itakusaidia sana
 
Kaka pole sana na tatzo hlo. Mimi pia mke wangu alikua na tatzo hlo tulitafuta dawa sana kwa Hospital mbali mbali na mpaka kwenye Maombi lakn hatukupata Dawa yoyote. Mwsho wa siku kuna jamaa yng alikuja kunipa dawa moja Simple sana mkuu inauzwa mia tano tu kwa kilo kwenye hard ware. Unajua siku zote Cement huwa na tabia kunyonya maji kwa kiwango kikubwa...? Jibu ni ndio
Kwahyo anatakiwa awe anaweka Cement kwenye Papuch kias cha kijiko kimoja cha chakula Asubuh na jiona kwa week nzima. Nnatumain itakusaidia sana
[emoji1][emoji1][emoji1] kudadeki.
 
Nimeumia sana yani nikama mtu ana mawe ya dhahabu na anasema yamemuelemea anatafuta mahali pakuyatupa hayo mawe!!!Mungu ni mkubwa sana!kuwa na viumbe wa ajabu na watafauti.
hahahaha binadamu kweli hatufanani mkuu
 
Back
Top Bottom