Dogo anataka kuhama kwao amechoka kula kulala. Mfukoni ana laki tano na ushee. Kaomba ushauri kwangu nimemuahidi jioni nitampa jibu ili nije huku kwa akili kubwa/Great thinkers kuulizia.
Forex inahitaji elimu ya kutosha kuihusu yenyewe pia inahitaji uvumilivu na unapaswa uwe na nidhamu ya hali ya juu!,tamaa ni kitu kisichofaa sana forex!.. siungi moja kwa moja jamaa kwa hiyo fedha aingie forex bali aangalie cha kufanya kwanza forex ipo tu atajifunza baadae.. baishara zote unaweza kupoteza fedha lkn forex unaweza kupoteza kwa haraka Sana haswa usipozingatia! Na kinyume chake forex inaweza kukupatia fedha Sana tu ukienda vizuri ktk nyanja zake.
Narudia tena inahitaji elimu ya kutosha kuihusu yenyewe nidhamu ni kitu cha msingi Sana..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.