Ana Kilango Malecela na Jimbo la Moshi Mjini

Mama Kilango aliposema atapiga kambi Moshi Mjini hakina tofauti na Mrema alichosema juzi kwamba atapiga kambi Moshi Mjini kuwavurugia Chadema.Chadema walikwenda jimboni kwa AK kufanya Mkutano ndio Mama Kilango akaamua kuwatishia na ndicho A Mrema analichofanya siku za karibuni baada ya kuona John Mrema ana mpush pembeni taratibu akaamua kutishia nae.
 

unafiki sio hulka ya "wa-metal"(kyela):a s 13:
 
Humjui vizuri, ni mchumia tumbo mzuri sana isipokuwa asipopata gawio kwenye dili za kifisadi basi hujifanya anatetea wanyonge!
Mkuu, jaribu kuhusisha akili yako unapochangia.Haya tueleze nini amekuwa akichumia tumboni?
 
Humjui vizuri, ni mchumia tumbo mzuri sana isipokuwa asipopata gawio kwenye dili za kifisadi basi hujifanya anatetea wanyonge!

Being vocal bungeni ni muhimu kuleta maendeleo na kusukuma serikali isilale, therefore She fits to became MP for second term. Actually she is better off compared to many opposition Mps who were 'kimya' in the parliament. While Anna who came from the ruling party was able to strongly challenge the government.
We need Anna again in Dodoma as an MP from Same
 
Nina support wapinzani kuwa na wabunge wengi kutoka na mchango wao wa bunge lililopita na vile vile nina support baadhi ya wabunge wa CCM kama AK na Mwakyembe kutoka na mchango wao wa bungeni.
 
bwa ha ha ha ha
 

evava
 
Hizi SIASA MUNGU tu atusaidie maana wengi ni wanafiki sana.Katika hali ya kawaida Watanzania tunatakiwa kufikiria sana na kuchambua mambo kiundani.Hivi Mgombea anayewapigia Debe watu walio na kesi mahakamani tena za wizi wa pesa za Umma na kuwaita ni viongozi wazuri huyo ana akili timamu?Tena watu hawa wameshitakiwa na Jamhuri ambayo yeye ndo anaisemea,huyo ni mtu wa ajabu kabisa.Aidha haelewi anachofanya,Biblia inasema ni MPUMBAVU anhitaji kufundishwa au......nisaidieni. Nadhani tufikirie mara mbili mara tatu. Wakati wa kuchagua vyama umepita sasa ni kuchagua KIONGOZI BORA kwisha.

MUNGU Ibariki Tanzania.
 
Hata akishindwa ubunge hana shida sana. Anaweza kurudia tu ile kazi yake ya kuleta madawa ya kulevya lakini this time nafikiri atakua more clever hatakamatwa tena airport kama wakati ule. Anyway atakua former MP kwa hio that might lessen the scrutiny (and scare the security) at airport.
 

"Politics, like theater, is one of those things where you've got to be wise enough to know when to leave."
 
Kilango na wapiganaji wenzake watarudi bungeni kwa kura nyingi saaaana. Hamuendi majimboni kuona watu wanafanyaje.mfano mvomero ktk kura za maoni makalla amemshinda murad watu wakazira hali ikawa mbaya saaana. Jk akenda kama mar 2 hivi, nenda sasa hali shwari.kelele na jazba zinawaletea pressure ndio maana mnakufa fasta na umri mdogo.tar 31 oct tutawauliza wakiristooo mmeona faida za kampeni za makanisani? Ushindi wa kishindo lazima mtabaki na jesus slaa, sorry padre mzinifu slaa.
 
Selungo,



..Dr.Slaa alikuwa Kilimanjaro, mbona sikusikia kama amekwenda kumpigia kampeni Kaboyoka?

kwa kaboyoka ameenda ndesamburo amekaa wiki mbili na helikopta yake, sasa hivi wananchi hawasikii wala hawaoni kwa kaboyoka.
ni kama vile zitto anavyokwenda sehemu zingine badala ya slaa
baada ya anna kilango kupiga kambi mjini moshi, ndesa nae akarudisha majibu kwa kupiga kambi wiki mbili jimboni kwake same

hali ya upepo imebadilika sana na kilango anaogopa kurudi tena mjini moshi, inabidi ajilinde mwenyewe jimboni kwanza.
hata akienda mjini moshi hawezi kubadilisha chcochote. ushindi kwa ndesa ni 90%
 


hapo nilipoweka red - tafadhali weka maelezo - tuelewe vizuri (elaborate please)
 
ni habari njema kwani amekaa pamoja na mafisadi na hataki kutoka ccm bora tu aangushwe kwani naye ni mdandia hoja tu za upinzani.....angetoka huko aliko angeonekana wa maana
 


Alama za mtu mnafiki ni tatu
1.akiongea husema uongo
2. akitoa ahadi hatimizi
3. akiaminiwa hutenda hiana(haaminiki

kutokana na hayo point 3 hapo juu Ni nani au chama gani ambacho ni mnafiki/Kinafiki
AK kama analijua hilo ilitakiwa ahame chame huwezi ukawa kinyume na ufisadi halafu bado uko ndani ya mafisadi na ndio maana walinyamazishwa dodoma wakabaki kimya na kuruhusu mijadala ipite kiaina kwa ajili ya masilahi ya chama hivyo binafsi siwezi kumuamini

JK, AK na wote waliopo CCM ni wanafiki na wanahitaji kung'olewa isipokuwa Dr. Mwakyembe Pekee kwani walau anaweza kuusimamia ukweli bila kujali itkadi ya chama
 
Mimi nilikua nawasapoti sana kipindi walipojitangaza kama vinara wa kupambana na ufisadi wakiwemo Selelii,Ole Sendeka,Mwakyembe na wengineo.Walipopigwa biti na CCM wakiambiwa wanataka kukigawa chama,walinywea.
Matokeo yake Mafisadi kama Sofia Simba naye akajitangaza kupambana na ufisadi,wakharibu maana nzima yakupambana na UFISADI.
Mimi nasema twogopekama UKIMWI hawa watu WANAFIKI,waoweka maslahi ya chama mbele.
 
Humjui vizuri, ni mchumia tumbo mzuri sana isipokuwa asipopata gawio kwenye dili za kifisadi basi hujifanya anatetea wanyonge!
Kula tano.... watu wanapotea na sauti yake ya kulalamika....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…