Mama Kilango aliposema atapiga kambi Moshi Mjini hakina tofauti na Mrema alichosema juzi kwamba atapiga kambi Moshi Mjini kuwavurugia Chadema.Chadema walikwenda jimboni kwa AK kufanya Mkutano ndio Mama Kilango akaamua kuwatishia na ndicho A Mrema analichofanya siku za karibuni baada ya kuona John Mrema ana mpush pembeni taratibu akaamua kutishia nae.Jambo JF Members
Leo hii nilifanikiwa kukutana na Mzee mmoja wa CHADEMA huku Moshi tukwa na mazzungumzo ya hapa na pale. Mojawapo ya mambo tuliyoongea ni kuhusu Mama Anna Kilango. Alidokeza tu kuwa atahakikisha anapiga KAMBI Jimbo la Moshi mjini ili ahakikishe kuwa linarudi CCM. Lakini tangu kampeni zimeanza huyu mama hatumsikii na wala hajaja kupiga kambi huku kama alivyoahidi. Juzi kwnye matangazo ya CCM Moshi walitanga wahutubiaji wa mikutano yao kwa siku husika wangekuwa Ole Sendeka na Anna Kilango lakini aliyefika ni Ole peke yake. Nilipomuuliza yeye (mzee wa CHADEMA) anafikiri kulikoni alinaambia kuwa maji yamemfika shingoni na kurudi bungeni ni ngumu kuliko maelezo. Amedai kuwa mama amewalaghai sana wapiga kura wake. hata kiwanda cha kusindika Tangawizi pia ni hewa hakuna kitu. Hali hii imemfanya Mama Kilango kukomaa jimboni kwake ili anusuru kiti chake ingawa matumaini ni hafifu sana.
siasa sazingine ni unafiki tu, mtu kama ole sendeka kuwapigia kampeni mafisadi nasikia alienda moduli, moshi, arusha nilisikia amekuja kwa huyu mama betilda ambaye ana uhusiano wa karibu sana na lowasa na wote tuna jua ole sendeka alivyo na bifu na lowasa au ndiyo ule usemi "funika kikombe mwana haramu apite" bado sija msikia mwakyembe
Mkuu, jaribu kuhusisha akili yako unapochangia.Haya tueleze nini amekuwa akichumia tumboni?Humjui vizuri, ni mchumia tumbo mzuri sana isipokuwa asipopata gawio kwenye dili za kifisadi basi hujifanya anatetea wanyonge!
Humjui vizuri, ni mchumia tumbo mzuri sana isipokuwa asipopata gawio kwenye dili za kifisadi basi hujifanya anatetea wanyonge!
Kumebakia takribani siku 20 tuingie kwenye chaguzi
bwa ha ha ha ha.
Mkuu unazungumza kumleta SM kumsaidia? Aache utani bana. Maana hii ni sawa na magari mawili yameanza safari kutoka Dodoma kuja Dar, moja linapinduka pale kabaigwa jingine linakwama Chalinze. Sasa yule wa la Chalinze anapiga mahesabu ya kupata msaada wa kuvutwa na lililopinduka huko kibaigwa. IT IS DOUBIOUS.
.
JokaKuu, HESHIMA MBELE!
Kumbuka kwamba nyakati zote hizi, mama alikuwa anapata support toka kwa SM. Mfano kwenye kura zote za maoni zilizo endeshwa kwa wakati ule zilitumika nguvu za ziada na hasa mlungula wa waziwazi. kura za maoni za hivi karibuni wote tumeshuhudia jinsi rafu za wazi wazi zilivyokuwa zikichezwa na bila kuchukuliwa kwa hatua zozote. Kumbuka mama AK alilia hata pale mjengoni Dom. akitishia kwamba kama sisi em haitachukuwa hatua Same mashariki, basi damu itamwagika. Alikuwa anajua kwamba mwaka huu ngoma ni nzito.
Same mashariki kuona kwamba mambo hayaendi kama walivyo taka, wakamwambia mama Kaboyoka hama nasi hatukuangushi.
Kwa taarifa yako mimi nipo huku, hali halisi naiona na mambo yana mwendea AK mrama. Si aliahidi kwenda Moshi kumtoa Ndesapesa, mbona hajatoa mguu? Vaathu wameshtuka ile mbaya. Sasa sana anajivunia pale kwao Uzambara na kwa waMasai. Mamba walishashtuka baada ya kutoa ahadi zisizo tekelezeka.
Si kila mahali Dr. wa kweli anaweza kwenda kwa kampeni. Ila kwa Kaboyoka tuna uhakika wa kushinda kwa kiwango cha juu.
Anafanya nini huko? ni afadhali kikafa na akazikwa nacho... She is good but chama chake!!!
Jambo JF Members
Leo hii nilifanikiwa kukutana na Mzee mmoja wa CHADEMA huku Moshi tukwa na mazzungumzo ya hapa na pale. Mojawapo ya mambo tuliyoongea ni kuhusu Mama Anna Kilango. Alidokeza tu kuwa atahakikisha anapiga KAMBI Jimbo la Moshi mjini ili ahakikishe kuwa linarudi CCM. Lakini tangu kampeni zimeanza huyu mama hatumsikii na wala hajaja kupiga kambi huku kama alivyoahidi. Juzi kwnye matangazo ya CCM Moshi walitanga wahutubiaji wa mikutano yao kwa siku husika wangekuwa Ole Sendeka na Anna Kilango lakini aliyefika ni Ole peke yake. Nilipomuuliza yeye (mzee wa CHADEMA) anafikiri kulikoni alinaambia kuwa maji yamemfika shingoni na kurudi bungeni ni ngumu kuliko maelezo. Amedai kuwa mama amewalaghai sana wapiga kura wake. hata kiwanda cha kusindika Tangawizi pia ni hewa hakuna kitu. Hali hii imemfanya Mama Kilango kukomaa jimboni kwake ili anusuru kiti chake ingawa matumaini ni hafifu sana.
Selungo,
..Dr.Slaa alikuwa Kilimanjaro, mbona sikusikia kama amekwenda kumpigia kampeni Kaboyoka?
Kilango na wapiganaji wenzake watarudi bungeni kwa kura nyingi saaaana. Hamuendi majimboni kuona watu wanafanyaje.mfano mvomero ktk kura za maoni makalla amemshinda murad watu wakazira hali ikawa mbaya saaana. Jk akenda kama mar 2 hivi, nenda sasa hali shwari.kelele na jazba zinawaletea pressure ndio maana mnakufa fasta na umri mdogo.tar 31 oct tutawauliza wakiristooo mmeona faida za kampeni za makanisani? Ushindi wa kishindo lazima mtabaki na jesus slaa, sorry padre mzinifu slaa.
Kilango na wapiganaji wenzake watarudi bungeni kwa kura nyingi saaaana. Hamuendi majimboni kuona watu wanafanyaje.mfano mvomero ktk kura za maoni makalla amemshinda murad watu wakazira hali ikawa mbaya saaana. Jk akenda kama mar 2 hivi, nenda sasa hali shwari.kelele na jazba zinawaletea pressure ndio maana mnakufa fasta na umri mdogo.tar 31 oct tutawauliza wakiristooo mmeona faida za kampeni za makanisani? Ushindi wa kishindo lazima mtabaki na jesus slaa, sorry padre mzinifu slaa.
Kula tano.... watu wanapotea na sauti yake ya kulalamika....Humjui vizuri, ni mchumia tumbo mzuri sana isipokuwa asipopata gawio kwenye dili za kifisadi basi hujifanya anatetea wanyonge!