kidambinya
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 1,176
- 1,712
Nakumbuka tuli graduate pale UDOM chuo cha elimu; na aliyekuja kulalamika kiwango kidogo cha ufaulu kwa sababu za ugumu wa kozi ni ndalichako, na aliomba kozi ziratibiwe upya. Ualimu umeshushwa hadhi kiasi cha kuonekana rahisi, bro, take a pace on earning its bachelor.....usichukulie rahisi