Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
tusimpe nafasi shetani ya kulimeza taifa lenye amani kwa udanganyifu wa sera zisizotekelezeka wanazotoa upinzani.
pasipo kikwete na ccm taifa hatarini
my take
hii msg wamenitumia ccm kama nusu saa ivi iliyopita.
kama imekaa kiuchochezi
tcra fanyieni kazi izi msg as zaweza leta uvunjifu wa amani
pasipo kikwete na ccm taifa hatarini
my take
hii msg wamenitumia ccm kama nusu saa ivi iliyopita.
kama imekaa kiuchochezi
tcra fanyieni kazi izi msg as zaweza leta uvunjifu wa amani