mkuu zing, proposal hiyo, though bado ni first draft
hayo ndo mambo mwana usijali sana hata kama ni 1st draft wadau wakiona umefanya kitu wakisoma wanaweza kukupa mawazo mzuri
kwenye objective kuna kitu unatakiwa kuandika. I mean objective ya proposal yako na hata final project ni zaidi ya uliyotaja.
kumbuka hii siyo poposal kwa ajili real life project ambayo ni lazima upate real working product mwishoni. Ni student proposal ambayo unatakiwa kijifunza
process,
technology,tools na
implimentations zake. So nadhani objective za porject na rpoposal yako ni zaidi ya hiyo uliyotaja.
So wakati unaimpliment hiyo SMS base appliction utakuwa kama aunafanya research na unajifunza kwa vitendo. In the process unaweza kukutana na matatizo amabyo nayo pia utatakiwa uyaandike kwenye project na kama uliyatatu uandike pia . Ingekuwa ni project ya kweli. haya mambosio muhimu but for student ndo mambo yanayokupa maksi kama kweli instructor yuko makini
Kuhusu methodology kwa sabbu ni for learning purpose wakati utafuta hatua zote za
SDLC kutokana na time(sijui kwako ina muda gani), knowldge yako au experince yako kwenye past similar project unaweza kuandika kuwa katika mazingira ya project halisi ungetumia may be
But kwangu kwa student rpoposal SDLC ni basic hata hizo methodology nyingine zinatumia hiyo hiyo
SDLC ila kwa approach tofauti.
katika
gant chat ambayo naamin inatakiwa kuwa one of the attacment katika proposal yako utaonyesha
- Project planning and feasibility Analysis-
- Unaweza Assume proposal yako ni moja ya deliverables za stage hii. Si mbaya ndani ya proposal uweke kipengele cha cha project plan. Ndani ya kipengele cha project plan unaweza kutaja sub vipengele kama resources ( computer, vitabu, istructer) utazaotumia Muda, kiasi cha fedha. Nb kuna baadhi nimeona umevitaja tayari
KUANZIA HATUA YA PILI HAPA NI KAMA UMESHAANZA PROJECT
2.Systems analysis, requirements definition- Once proposal yako ikikubaliwa ndo unaamza mziki hapa. Kila stage lazima iwe na
deliverebles in terms of document au document pamoja na rpduct unayodevelop. But for student good documentation will give u gd marks than good product
. Hapa stage hii unatakiwa kutumia tools mbali mbali za modeliing kama
Use case. Unatakiwa uwahoji( interviewing) na kuongea na wahusika wa chuo chochote unachoweza kuwa na acess
3. Systems design: Describes desired features and operations in detail, including screen layouts, business rules, process diagrams, pseudocode and other documentation.
4.Implementation: The real code is written here.
5.Integration and testing: Brings all the pieces together into a special testing environment, then checks for errors, bugs and interoperability.
6.Acceptance, installation, deployment: The final stage of initial development, where the software is put into production and runs actual business.
7.Maintenance: What happens during the rest of the software's life: changes, correction, additions, moves to a different computing platform and more. This, the least glamorous and perhaps most important step of all, goes on seemingly forever.
Katika hizo hatua saba kila hatua ina
visu btask na task zinaweza kuwa na activity na kila task na sutask lazima ziwe documented.
So kwenye poposal yako unaweza kuchambua zaidi kila hatua ikuwa na visubtask gani na itachukua muda gani. viweke kwenye gant chat